Mwacheni Lowassa nyie nyonganeni wenyewe kwa wenyewe.Lowasa huko aliko analia kwa uchungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwacheni Lowassa nyie nyonganeni wenyewe kwa wenyewe.Lowasa huko aliko analia kwa uchungu
Acha ujinga weweHuyu PM hata video zilimuonesha akiimba "Tunaimani na Lowasa"
Acha kujifanya umesahau
Bado Nape..Hatima ya Jerry Slaa ni vipi?
Ccm mpya hiyo mjomba. Bebeni tu hayo makapi maana baba la mafisadi mnaloDikteta uchwara katika ubora wake hataki kupingwa! Lakini wakati huo huo bado kawakumbatia wahuni, majangili, wezi, wapokea na watoa rushwa, wafitini na mafisadi ndani ya chama. Kama ilivyomshinda nchi chama pia kimemshinda kukiendesha huyu mkurupukaji.
Tunaambiwa ccm iko mapande matatu , wewe uko ccm the don au ccm tumbo ?Ccm mpya hiyo...Hakuna mnafiki atakayeachwa
unalia nini? huna cheti ?au unatumia cheti cha jirani ?Mchukueni chadema
wasikusahau na wewe maana na wewe ni jipuWasimsahau Jesica Msavatavangu
Ccm Kuna demokrasia ya kweliKile kitendo cha wao kutoka kwenye kikao cha Kamati Kuu na kujitenga na maamuzi ya kikao kwakweli walistahili adhabu kali....
Najua wangekuwa chadema wangefukuzwa siku hiyohiyo ila CCM kwakuwa inaamini katika vikao ilisubiri wakati ufipe na umefika hatua zimechukuliwa.
Ujinga gani...? Nikuletee Clip ya video ujionee...?Acha ujinga wewe
Hahahhh Mkuu uchochezi utaambiwa!Naona kuwafukuza haitoshi wangewaua kabisa.
Amfuate Wema tena anaweza kupewa BAWACHA iwe mali yake.Ndo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
Acha mutafunane unamuona mchafu leo Mbona hapo kabla hamkusema.Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
unadhihirisha lile nililolisema awali.we Nawe ni mmoja wao kama nimekukwaza limau ipo VP nikuletee?We taahira kweli wewe! Hivi huko kwa machadema unaweza kumchukia Mbowe ukaachwa ndani ya machadema?
Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?
Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.
unadhihirisha lile nililolisema awali.we Nawe ni mmoja wao kama nimekukwaza limau ipo VP nikuletee?We taahira kweli wewe! Hivi huko kwa machadema unaweza kumchukia Mbowe ukaachwa ndani ya machadema?
umetaja jina CHADEMA mara NNE .... hujataja CCM hata mara moja .... kuna kitu kikubwa sana hapa kwenye CHADEMAAkija CHADEMA huyo mama SIMBA ghafla anakuwa mtakatifu, chadema wanamfutia tuhuma zote anazituhumiwa, kama mwenzake LOWASA na MAHANGA, manake huko nyuma CHADEMA mlikuwa mnahoji uhalali na upatikanaji wa PhD ya Dr mahanga, ila leo hii mahanga wamemfutia tuhuma (CHADEMA wana mamlaka kama ya mahakama), Lowasa miaka nane ya matusi, kutukanwa na kejeli kutoka CHADEMA na gazeti lao la MWANAHALISI leo hii anaonekana DHAHABU ngojea tusubirie kwa huyu mama SIMBA sijui itakuwaje.