Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Kile kitendo cha wao kutoka kwenye kikao cha Kamati Kuu na kujitenga na maamuzi ya kikao kwakweli walistahili adhabu kali....

Najua wangekuwa chadema wangefukuzwa siku hiyohiyo ila CCM kwakuwa inaamini katika vikao ilisubiri wakati ufipe na umefika hatua zimechukuliwa.
 
Dikteta uchwara katika ubora wake hataki kupingwa! Lakini wakati huo huo bado kawakumbatia wahuni, majangili, wezi, wapokea na watoa rushwa, wafitini na mafisadi ndani ya chama. Kama ilivyomshinda nchi chama pia kimemshinda kukiendesha huyu mkurupukaji.
Ccm mpya hiyo mjomba. Bebeni tu hayo makapi maana baba la mafisadi mnalo
 
We taahira kweli wewe! Hivi huko kwa machadema unaweza kumchukia Mbowe ukaachwa ndani ya machadema?
unadhihirisha lile nililolisema awali.we Nawe ni mmoja wao kama nimekukwaza limau ipo VP nikuletee?
 
Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?

Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.



Lizaboni njoo jionee
 
Wameanza ku kwanyuana kumbe vingine wanaweza na wako fastaa mbona vya daudi bashite vinacheleweshwa
 
We taahira kweli wewe! Hivi huko kwa machadema unaweza kumchukia Mbowe ukaachwa ndani ya machadema?
unadhihirisha lile nililolisema awali.we Nawe ni mmoja wao kama nimekukwaza limau ipo VP nikuletee?
 
Akija CHADEMA huyo mama SIMBA ghafla anakuwa mtakatifu, chadema wanamfutia tuhuma zote anazituhumiwa, kama mwenzake LOWASA na MAHANGA, manake huko nyuma CHADEMA mlikuwa mnahoji uhalali na upatikanaji wa PhD ya Dr mahanga, ila leo hii mahanga wamemfutia tuhuma (CHADEMA wana mamlaka kama ya mahakama), Lowasa miaka nane ya matusi, kutukanwa na kejeli kutoka CHADEMA na gazeti lao la MWANAHALISI leo hii anaonekana DHAHABU ngojea tusubirie kwa huyu mama SIMBA sijui itakuwaje.
umetaja jina CHADEMA mara NNE .... hujataja CCM hata mara moja .... kuna kitu kikubwa sana hapa kwenye CHADEMA
 
Back
Top Bottom