Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,895
- 20,392
Aiseeee! Namhurumia sanaHatima ya Jerry Slaa ni vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee! Namhurumia sanaHatima ya Jerry Slaa ni vipi?
Sasa nyie vijana wa bavicha mbona mnaumia sana? Mchukueni na huyo Basi maana bosi wake mnaye tangu 2015Hili ni mbinu ya kutisha watu ili waogope kutopitisha mabadiliko wanayoyataka.
Wanaumia coz vibaraka wao wanazidi kupukutikaSasa nyie vijana wa bavicha mbona mnaumia sana? Mchukueni na huyo Basi maana bosi wake mnaye tangu 2015
Hicho chama kinaendeshwa kibabe kwa sasa.Hakuna atakayepinga mabadiliko hayo
We taahira kweli wewe! Hivi huko kwa machadema unaweza kumchukia Mbowe ukaachwa ndani ya machadema?Tukisema wote mlioko huko kijani ni FAFAFA ni akina Bashite mnaona mnaonewa.haya kama mnalazimisha mpaka watu kumpenda mtu.
Wameomba radhi hao walioachwa. Kimbisa aliungama mapemaaaaMmoja atwaliwa, mmoja aachwa......
Ccm mpya hiyo...Hakuna mnafiki atakayeachwaUnyama unyama ! CCM Kwisha habari !
Wema Sepetu ndiyo nani??Ndo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
Huyu PM hata video zilimuonesha akiimba "Tunaimani na Lowasa"Kivipi Mkuu?
Ni kweli Kamanda! Sophia Simba ni kamanda mpya anayesubiri kupewa kadi. Lowasa atashinikiza apewe na ubungeSioni Kosa la Sophia Simba kufanya akataliwe na CHADEMA.Nina imani akienda ataongeza wapigakura wa CHADEMA.
bashe is a good guy...
au mnataka watu wanaosifu kila kitu?