Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,016
- 6,310
Wewe mrangi punguza jazbaNaona kuwafukuza haitoshi wangewaua kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mrangi punguza jazbaNaona kuwafukuza haitoshi wangewaua kabisa.
Kweli nyumbu mna Akili za kuku! Hivi chadema inavyoendeshwa kibabe kuna chama kinachozidi chadema kwa ubabe!? By the way Ben Saanane yuko wapi? Chacha wangwe yuko wapi? Zitto naye alitimuliwaje!Hicho chama kinaendeshwa kibabe kwa sasa.
Vipi ule umbeya wako uliosema Bashe kaenda Dodoma na maburungutu ya hela umeishia wapi? Bashe amefukuzwa?Wasimsahau Jesica Msavatavangu
Tumuulize aliyempa ubalozi....wakati mwingine akili zako unazijua mwenyewe....!!!Safi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Mimi ile video namuona PM akiimba pia..tuna imani na LOWASA......kawimbo kaliimbwa na SOFIA peke yake !!!
Kwa hiyo ccm ni kisima cha uchafu?Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Anakaribishwa akitakaMchukueni chadema
Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?
Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.
Hata chadema hali ni hiyo hiyo, ukimpinga mbowe jiandae kulishwa mwerekaChama hakitaki mtu awe na mawazo tofauti. Mwenyekiti akisema vua unavua kweli. Ukigoma unatimuliwa.