Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

..safi kabisa...acha wafu wazikane....hizi fitna zao watakaofaidi ni wapinzani... Ndani ya muda mfupi ccm wameondokewa na wema, mama yake na sasa Sofia...wote hawa wana wafuasi nyuma yao...ccm ni jahazi linalozama....serikali yake dhalimu wamekosa hoja...bajeti inawashinda...wanachoweza ni kufukuzana...kama namna ya kutafta kiki kwa wananchi....hatudanganyikiiiii...
 
Hongera kwa ujasiri wako,unapoelekea unaweza kuikana hadi jinsia(jinsi)yako,yani video inaonesha dhahiri akipiga makofi kukubaliana na wimbo wa "imani kwa Lowassa wewe unabisha?Wewe kiboko.
Nenda zako huko labda Majaliwa humjui....mtu kainama zake wewe unasema anapiga makofi????
 
KAULI ZA KIJINGA.MACHALI KUJA KWENU NA WENGI SIWATAJI MAJINA NI UCHAFU ?MTU ANA UHURU KUCHAGUA ATAKAPO.AFANDE SELE NAYE UTASEMAJE.?KAMA HUNA CHA KUSEMA BORA UKAKAA KIMIYA.
Bado unamfuatilia Lizaboni Mkuu!!?
 
Hii siyo sawa. Huyu Mama kafanya vitu vingi kwa chama ila dakika ya mwisho katubuniwa. She is now close to retirement if not already retired, atapata wapi marafiki wapya Chadema, hasa ukuzingatia wala siyo mtu wa huko jamaa walivyo wajivuni? Ni kama Kigunge, hana raha. Au Sheikh Takadir "Mtakadini" 1958. Alikufa hana raha. Why did she do it?
 
9816a75b17e28402dbf385f79518d0b5.jpg

09670e6e2517cf6e5020d682a0c5fb72.jpg
 
Wasimsahau Jesica Msavatavangu
Teh teh teh Dada etu inasemekana alimpa kiki la maana blaza pita nsigwa baada ya yy kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha ubunge pale home...... Povu liliwajaa sana uvisisiem + yearlebela
 
Kile chama cha kuzoa mizoga wabebe huo mzoga wanaitwa kunguru au fisi
 
Bado hajafukuzwa
Huyu hafukuzwi Bali atajifukuza mwenyewe kwani Bwana yule alikwishasema hahitaji nguvu ya kupiganiwa mitandaoni, hivyo kile kitengo chao cha propaganda za mitandaoni kinazikwa rasmi..
 
Back
Top Bottom