Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Ccm ni moja Dogo.Tunaambiwa ccm iko mapande matatu , wewe uko ccm the don au ccm tumbo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ni moja Dogo.Tunaambiwa ccm iko mapande matatu , wewe uko ccm the don au ccm tumbo ?
Kati ya vilaza na Bashite ni weweLowasa huko aliko analia kwa uchungu
Nenda zako huko labda Majaliwa humjui....mtu kainama zake wewe unasema anapiga makofi????Hongera kwa ujasiri wako,unapoelekea unaweza kuikana hadi jinsia(jinsi)yako,yani video inaonesha dhahiri akipiga makofi kukubaliana na wimbo wa "imani kwa Lowassa wewe unabisha?Wewe kiboko.
Bado unamfuatilia Lizaboni Mkuu!!?KAULI ZA KIJINGA.MACHALI KUJA KWENU NA WENGI SIWATAJI MAJINA NI UCHAFU ?MTU ANA UHURU KUCHAGUA ATAKAPO.AFANDE SELE NAYE UTASEMAJE.?KAMA HUNA CHA KUSEMA BORA UKAKAA KIMIYA.
Aliongea ukweli sana..[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aliwamwagia maneno ya shombo "Mwanaume ni Lowassa". Hayo mengine siyafahamu.
Yaani chadema wa naumia sana juu ya mabadiliko haya ndani ya ccmWanaumia coz vibaraka wao wanazidi kupukutika
Iwe mushaija! acha zako mushaijaYule mupe yule muruke
Teh teh teh Dada etu inasemekana alimpa kiki la maana blaza pita nsigwa baada ya yy kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha ubunge pale home...... Povu liliwajaa sana uvisisiem + yearlebelaWasimsahau Jesica Msavatavangu
Vipi kuhusu mwapamba, ni Mbunge wa chama gani na alitokea wapi... Au leo bangi imekuzidi...Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Huyu hafukuzwi Bali atajifukuza mwenyewe kwani Bwana yule alikwishasema hahitaji nguvu ya kupiganiwa mitandaoni, hivyo kile kitengo chao cha propaganda za mitandaoni kinazikwa rasmi..Bado hajafukuzwa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Iwe mushaija! acha zako mushaija
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Iwe mushaija! acha zako mushaija