Spot on chief...halafu mtu aitwaye MTAZAMO ati anaona CCM inajitengeneza!!Dikteta uchwara katika ubora wake hataki kupingwa! Lakini wakati huo huo bado kawakumbatia wahuni, majangili, wezi, wapokea na watoa rushwa, wafitini na mafisadi ndani ya chama. Kama ilivyomshinda nchi chama pia kimemshinda kukiendesha huyu mkurupukaji.
Naiona Bawacha ikizidi kunawiliNdo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
Hatupokei kimeo kingine alikataa kuja kipindi kileNdo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
Tabia za kitusi hizi.Mkuu huyu jamaa ni mtu wa visasi na ana roho mbaya sana pia hajui kusamehe! Kaja kulipa kisasi baada ya karibu miaka miwili! Ogopa sana watu wenye visasi kama huyu malaika Mkuu.
Mkimtimua tu tunayeSiku zake zinahesabika
Mbona mmekazania hili, ni hofu au kutoamini kilichotokea!?Haya chadema chukueni takataka nyingne hyo kama kawaida yenu!
Wewe mwenyewe ni mpiga zumali tu ndani ya chamaAhamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
KwishneiiiiiiiiHiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa
..safi kabisa...acha wafu wazikane....hizi fitna zao watakaofaidi ni wapinzani... Ndani ya muda mfupi ccm wameondokewa na wema, mama yake na sasa Sofia...wote hawa wana wafuasi nyuma yao...ccm ni jahazi linalozama....serikali yake dhalimu wamekosa hoja...bajeti inawashinda...wanachoweza ni kufukuzana...kama namna ya kutafta kiki kwa wananchi....hatudanganyikiiiii...
mnaanza kuitana mizoga?ama kweli.....kuwa mzoga ndani ya ccm ni kuwa na mawazo mbadala na pia kutokuwa na vyeti vya wengine!Kile chama cha kuzoa mizoga wabebe huo mzoga wanaitwa kunguru au fisi
Kumbuka amepewa ubalozi huyo. Sio mwenzako.Safi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Kuanzia vyetyi vya form four feki hadi phd feki alafu tunategemea nchi ya viwanda wkt hawajui hata principle moja ya uchumi.....Wanachukia matajiriTukisema wote mlioko huko kijani ni FAFAFA ni akina Bashite mnaona mnaonewa.haya kama mnalazimisha mpaka watu kumpenda mtu.
Nifah kipenzi tulia chama kitoe wanafiki ndo waliokuwa wanaleta makundi chamani haoMama Salma kuchukua nafasi yake soon,CCM wana fitna sana.
Nchi inaongozwa kimabavu na chama pia.
Kwani ni kosa mwanachama kupinga maamuzi ya ndani ya chama?
Unyama unyamani.
Wewe unaongea ukiwa umeshika chupa ya chibuku wenzio tupo dodomaHakuna atakayepinga mabadiliko hayo
Siyo hilo tu. Huyu Majaliwa alikuwa mmoja wa wale walioitwa mawaziri mizigo na kina Kinana na Nape!Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?
Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.
Mods tafadhari pandisheni hiyo video ili jf iwasaidie hao viongozi kutendeana haki,wawafukeze wote walioonesha mapenzi/imani kwa mh.Lowassa.
.....CCM ipi inayojitengeneza? Wewe toka Slaa kaweka mpira kwapani, akili zako zimekuwa clotted...umekuwa lightweight sana chief...
Kumfukuza Sophia ndiyo kujitengeneza? Ipi misingi yao ya kujitengeneza? Yaani kutotaka upinzani ndani ya chama ndiyo kujitengeneza? Chama kuwa na wanachama wa ndiyo mzee ndiko unakokuzungumzia?
Kujitengeneza gani huko ilhali bado CCM imekumbatia mafisadi? Tena mafisadi wao wengine ndiyo wenyeviti wa Bunge la Jamhuri, huku wengine wakiwa ndiyo wenyeviti wa chama! Kujitengeneza gani wakati bado inaogopa kufukua makaburi? Bado inakutumbatia mikataba iliyoitwa ni ya kisanii? Bado inakumbatia watu walituuzia ARV feki?
Yaani CCM ni wepesi mno. Washukuru tu watanzania ni watu wafu, wasiojielewa kama wanadamu. Kama wangekuwa wanajielewa, no matter how weak the opposition is, CCM haipaswi kushinda hata uongozi kwenye kijiji. Kwani CCM wamesha-prove failure. Hawana jipya! No matter what games they play, CCM kitabaki kuwa chama cha kisanii tu. AND THIS IS PROVEN.
Tumemsaidia Sofia Simba awe huru kumfuata Lowasa huko aliko, maana alisema hadharani na kila mtu alisikiaTukisema wote mlioko huko kijani ni FAFAFA ni akina Bashite mnaona mnaonewa.haya kama mnalazimisha mpaka watu kumpenda mtu.
Wewe ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini,hesabuni maumivuSasa si angehamia tu CHADEMA kuungana na mumewe! Alikuwq anasubiri nini