CCM ipi inayojitengeneza? Wewe toka Slaa kaweka mpira kwapani, akili zako zimekuwa clotted...umekuwa lightweight sana chief...
Kumfukuza Sophia ndiyo kujitengeneza? Ipi misingi yao ya kujitengeneza? Yaani kutotaka upinzani ndani ya chama ndiyo kujitengeneza? Chama kuwa na wanachama wa ndiyo mzee ndiko unakokuzungumzia?
Kujitengeneza gani huko ilhali bado CCM imekumbatia mafisadi? Tena mafisadi wao wengine ndiyo wenyeviti wa Bunge la Jamhuri, huku wengine wakiwa ndiyo wenyeviti wa chama! Kujitengeneza gani wakati bado inaogopa kufukua makaburi? Bado inakutumbatia mikataba iliyoitwa ni ya kisanii? Bado inakumbatia watu walituuzia ARV feki?
Yaani CCM ni wepesi mno. Washukuru tu watanzania ni watu wafu, wasiojielewa kama wanadamu. Kama wangekuwa wanajielewa, no matter how weak the opposition is, CCM haipaswi kushinda hata uongozi kwenye kijiji. Kwani CCM wamesha-prove failure. Hawana jipya! No matter what games they play, CCM kitabaki kuwa chama cha kisanii tu. AND THIS IS PROVEN.