moe junior
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 904
- 937
Alooo!! Acha tu, babu cheka alitupenda sana bila kujali unamkubali or notHahahaaa kumekucha! Daudi je hajajadiliwa? Sophia kapumzike siasa sasa basi! Ulisumbua kidogo nawe ulipokuwa karibu na Mkuu wa utawala uleeeee!
Nyumba yenyewe imejengwa kwa tofari za barafu ccmTunakarabati nyumba
Hayo maneno kamwanbie mwenyekiti dikteta wa chadomo ambaye naona amekuwa mwenyekiti wa kudumu sasaHiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa
Hivi wewe nawe una huruma??Aiseeee! Namhurumia sana
Ahhhh kumbe mpango huu ndio hivi! Sofia alikuwa karibu sana na familia ya Msoga dah kazi kweli kweli.Mama Salma kuchukua nafasi yake soon,CCM wana fitna sana.
Nchi inaongozwa kimabavu na chama pia.
Kwani ni kosa mwanachama kupinga maamuzi ya ndani ya chama?
Unyama unyamani.
Usimkaripie mwenzio hahahahahahaHuyu PM hata video zilimuonesha akiimba "Tunaimani na Lowasa"
Acha kujifanya umesahau
Malizia kabisa Bashiteuchafu CDM itakao acha kuupokea ni wewe na mijizi ya vyeti.
Umeona kale ka kikilipu ka video hapo juu? Mfukuzeni na Majaliwa, kwani alikuwa na imani na Lowasa! Vipi, yeye siyo msaliti?Siku zote dawa ya wasaliti wa chama ni kuwafukuzia mbali.
Amfuate wema kwenye dustbin? Maana kila taka zinazotemwa hurushwa huko alikojirusha wemaNdo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
Tunakarabati nyumba
Mkuu nilifikiri una influence kwenye chama.... Kumbe kama mimi tu, tunalipia tu ada ya mwakaWasimsahau Jesica Msavatavangu
Kwiishaaaa kabisaaaaaaaa jeuri ya ccmUnyama unyama ! CCM Kwisha habari !
Wasimsahau Jesica Msavatavangu
Haswaa,yamepanua midomo tayari kwa kudaka,soon utaskia press conferenceDuh....fisi lazima wajinyakulie kimzoga....