Kuanzia sasa na kwa sababu wanabadili katiba tuwasaidie Kubadili na jina tuwaite chama cha mafafafa.Kuanzia vyetyi vya form four feki hadi phd feki alafu tunategemea nchi ya viwanda wkt hawajui hata principle moja ya uchumi.....Wanachukia matajiri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kavideo katamujeeeeeeMbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?
Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.
Mods tafadhari pandisheni hiyo video ili jf iwasaidie hao viongozi kutendeana haki,wawafukeze wote walioonesha mapenzi/imani kwa mh.Lowassa.
Kama kosa la Zitto alipofukuzwa chademaKosa la kuwa na mawazo tofauti na wengine?
Good for cdm by the way,wanapata wanachama wapyaaaaa..........Hili ni mbinu ya kutisha watu ili waogope kutopitisha mabadiliko wanayoyataka.
Safi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Kwan mama simba anatuhumiwa kitu Gan?Akija CHADEMA huyo mama SIMBA ghafla anakuwa mtakatifu, chadema wanamfutia tuhuma zote anazituhumiwa, kama mwenzake LOWASA na MAHANGA, manake huko nyuma CHADEMA mlikuwa mnahoji uhalali na upatikanaji wa PhD ya Dr mahanga, ila leo hii mahanga wamemfutia tuhuma (CHADEMA wana mamlaka kama ya mahakama), Lowasa miaka nane ya matusi, kutukanwa na kejeli kutoka CHADEMA na gazeti lao la MWANAHALISI leo hii anaonekana DHAHABU ngojea tusubirie kwa huyu mama SIMBA sijui itakuwaje.
kawaida dampo likijaaa..........!!Ccm mpya hiyo...Hakuna mnafiki atakayeachwa
Kosa la zito siyo kupishana mawazo.zitto alikuwa anashirikiana na maccm kuihujumu chadema.Kama kosa la Zitto alipofukuzwa chadema
Sana! It is shocking hata kwa sisi watazamaji wa JF. HahahahahaDooh! This is serious!
Unataka wanaofukuzwa CCM waende wapi kwenye demokrasia zaidi ya chadema?Big up kwa ccm,ila soon watapolewa kwa vifijo na nderemo huku kwetu Chadema,maana sisi ni mabingwa wa kupokea waliokatwa
Mhh. ...mulize masishanga mkuu yupo morogoro anakuja.vimbi.Ndo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
Walio Fukuzwa Uanachama wa CCM Kuanzia leo
1. Sophia Simba
2. Madabida
3. Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa
4. Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara na
5. Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga Jumlisha Wanec na Wenyeviti wakutosha. CCM MPYA INAKUJA
Record angeiweka JK but sisiem ina wenyewe ambao hawako tayari ife..........Jamaa ameamua kujiwekea rekodi ya kuiua CCM ili akumbukwe kwenye historia ya nchi ...
Msukuma vipi?Bado Bashe
Wamemkumbuka pia [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wasimsahau Jesica Msavatavangu