Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Kuanzia vyetyi vya form four feki hadi phd feki alafu tunategemea nchi ya viwanda wkt hawajui hata principle moja ya uchumi.....Wanachukia matajiri
Kuanzia sasa na kwa sababu wanabadili katiba tuwasaidie Kubadili na jina tuwaite chama cha mafafafa.
 
Mbona Waziri mkuu MKM alikuwa miongoni mwa watu waliosimama ukumbini na kuimba wimbo wa "Tuna imani na Lowassa"na hajafutiwa uanachama?

Ndiyo maana Taifa linakumbwa na misukosuko kila siku,kumbe hata sisi tusiomchagua tunaweza kuundiwa zengwe na kupoteza utanzania wetu,hii hatari sana.





Mods tafadhari pandisheni hiyo video ili jf iwasaidie hao viongozi kutendeana haki,wawafukeze wote walioonesha mapenzi/imani kwa mh.Lowassa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kavideo katamujeeeeee
 
Akija CHADEMA huyo mama SIMBA ghafla anakuwa mtakatifu, chadema wanamfutia tuhuma zote anazituhumiwa, kama mwenzake LOWASA na MAHANGA, manake huko nyuma CHADEMA mlikuwa mnahoji uhalali na upatikanaji wa PhD ya Dr mahanga, ila leo hii mahanga wamemfutia tuhuma (CHADEMA wana mamlaka kama ya mahakama), Lowasa miaka nane ya matusi, kutukanwa na kejeli kutoka CHADEMA na gazeti lao la MWANAHALISI leo hii anaonekana DHAHABU ngojea tusubirie kwa huyu mama SIMBA sijui itakuwaje.
Kwan mama simba anatuhumiwa kitu Gan?
 
Big up kwa ccm,ila soon watapolewa kwa vifijo na nderemo huku kwetu Chadema,maana sisi ni mabingwa wa kupokea waliokatwa
 
Ndo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
Mhh. ...mulize masishanga mkuu yupo morogoro anakuja.vimbi.
Politics just devil trape ,you will try to trap off but ....it depends on group which you are
 
Walio Fukuzwa Uanachama wa CCM Kuanzia leo
1. Sophia Simba
2. Madabida
3. Mwenyekiti wa Mkoa wa Iringa
4. Mwenyekiti wa Mkoa wa Mara na
5. Mwenyekiti wa Mkoa wa Shinyanga Jumlisha Wanec na Wenyeviti wakutosha. CCM MPYA INAKUJA

Huyu Madabida si juzi alikuwa Karimjee akimsapoti mwana mteule?? Wamemgeuka tena??
 
Hii itazidisha mpasuko mkubwa sana huko CCM, na hao wote wana watu wao wanaowatii huko CCM...

Sasa hapo kundi gani linaloogopwa zaidi na linalotafutwa sana na JPM?
 
Back
Top Bottom