Nathason2
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 598
- 680
Kuanzia sasa na kwa sababu wanabadili katiba tuwasaidie Kubadili na jina tuwaite chama cha mafafafa.Kuanzia vyetyi vya form four feki hadi phd feki alafu tunategemea nchi ya viwanda wkt hawajui hata principle moja ya uchumi.....Wanachukia matajiri