Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 908
- 1,911
"ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CHAMA NA SERIKALI"
Shubaaamit!
Shubaaamit!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu elewa kuwa hapo yalitokea mambo mawili. Kuna ambao walikerwa lowasa kukatwa lakini hawakuendeleza shari wakati wa kampeni. Na kuna wengine ambao wamechukizwa mpaka kwenye kampeni walimsaidia mtu wao ingawa alikua nje ya chama chao. hilo ni tatizo kwa siasa za chama chochoteKwa NCHIMBI CCM ilikuwa ni lazima waufyate kulikuwa hakuna namna,mtu walitangulia kumpa ulaji kwanza wakati alikuwa ni mtuhumiwa halafu wanazuga kwa kumuonya.
Iringa-Jesca msambatavangu
Mara- Christopher SANYA
Shinyanga- Khamis Mgeja
Pia ni vyema kwa nguvu hizo hizo ungewashauri Chadema ili waishinde kirahisi CCM hii iliyo kwenye "maturity level" ....tunaisaidia sana CCM ijirekebishe kuliko pia kukosoa siasa za upinzani ambazo hata CCM iwe dhaifu kwa level ipi ....HAWAWEZI kuwang'oa madarakani .....ndio maana wengine tunaoona upande mwingine wa CCM huko Chadema ....tuache propaganda tuambiane ukweli nchi ipone ....Hakuna kinachobadilika, ni kiini macho tu. CCM imeshafikia maturity level katika siasa za nchi, it started with "party-state" (1961-64), ikashindwa, ikahamia kwenye "developmental state" (1965-1984), ikashindwa, ikahamia kwenye "contracting state" (1985-2015), ikashindwa, sasa chini ya Populist Magufuli inarudi back to "party state" era, na mbaya zaidi without any practical ideology. CCM kwa sasa ni genge tu waiting for the populist personality to do anything that helps the party make to the next day.
Hakuna kitu hapo.
Kama huyaelewi niliyojadili, Nina uzi nauandaa wenye lengo la kuelimisha wana JF jinsi gani CCM is running out tricks, and how Magufuli has defined its down fall.
Nitakukaribisha.
Ha hahah hahahahahahahah...Pia ni vyema kwa nguvu hizo hizo ungewashauri Chadema ili waishinde kirahisi CCM hii iliyo kwenye "maturity level" ....tunaisaidia sana CCM ijirekebishe kuliko pia kukosoa siasa za upinzani ambazo hata CCM iwe dhaifu kwa level ipi ....HAWAWEZI kuwang'oa madarakani .....ndio wengine tunaoona upande mwingine wa CCM huko Chadema ....tuache propaganda tuambiane ukweli nchi ipone ....
kwa upinzani uliokuwa desperate wasingejali kumchukua maana hyuo Madabida ni 'famfe' wa Lowasa.Hivi unamjua madabida na makandokando yake? kuna wanasiasa wengine hawafai kushirikiana nao
Mtani za siku nyingi bwana?Mi nacheka sana, jeuri yote kwisha...
Huu sasa udakuHuyu mrembo naye kasalimika vipi mbona kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama pia kisa ana mahusiano ya kimapenzi na mbunge wa upande wa pili...?View attachment 479739
Ni JescaHuyo wa Iringa anaitwa Joyce Msavatavangu na siyo Jesca Msambatavangu.
Anaitwa Jesca sio joyce aiseeHuyo wa Iringa anaitwa Joyce Msavatavangu na siyo Jesca Msambatavangu.
Mbona hukarabati ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar kuondoa cheti cha magumashi?Tunakarabati nyumba