Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,620
- 5,335
Za siku nyingi shwari tu, uteuzi bado nasubiri sijapata bado...Mtani za siku nyingi bwana?
Endelea kucheka tu hii si zamu yenu wana BALIMI.. Wewe bado hujapata teuzi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za siku nyingi shwari tu, uteuzi bado nasubiri sijapata bado...Mtani za siku nyingi bwana?
Endelea kucheka tu hii si zamu yenu wana BALIMI.. Wewe bado hujapata teuzi??
Amfuate huko huko, CCM ni ya Wanachama si mtu kama ilivyo kwa baadhi ya Vyama.Mabadiliko ndani ya CCM ni lazima yatokee khasa baada ya miaka 40 tangu kuundwa kwake.
Nafasi katika halmashauri kuu zimepunguzwa kutoka 388 hadi 158, wakati nafasi katika kamati kuu zimepunguzwa kutoka 34 hadi 24.
Mabadiliko kama haya au kwa kiingereza "reforms " ni muhimu khasa ukiwa na kiongozi anaejali kupunguza matumizi hata katika chama chake.
Pia mabadiliko kama haya kutakiwezesha chama cha CCM kutekeleza shughuli zake kwa ufanisi zaidi na kuondokana na wanachama wasohitajika lakini wanaolipwa fedha za mishahara bure.
Ila kumvua uanachama Sophia Simba ni uamuzi sahihi na balozi Nchimbi kukaa nje akiwa balozi ni adhabu tosha.
Kwa umri alokuwa nao mama Sophia Simba alipaswa kuchunga kauli zake na ile kauli yake aloitoa kwenye harakati za kuchuja wagombea uraisi mwaka 2015 ya kwamba, yeye ni mjumbe wa kamati kuu na hatakubali kuona mgombea mwenye sifa kama Edward Lowasa akikatwa jina kwasababu za kijinga na kwamba wote wanaomchafua Edward Lowasa ni wajinga na wapumbavu.
Hii ni sawa na mtu kutapika kabisa halafu baadae anakuja kula matapishi yake mwenyewe.
Wewe ni wa kanda pendwa, ukipata ulaji tufahamishane tunaweza pitia pitia huko kwako angalau tuendelee na ligi za mjiniZa siku nyingi shwari tu, uteuzi bado nasubiri sijapata bado...
Kamanda gani anatafuna hii mkuu?Huyu mrembo naye kasalimika vipi mbona kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama pia kisa ana mahusiano ya kimapenzi na mbunge wa upande wa pili...?View attachment 479739
Ndio maana akatimuliwa ili apate kwenda kunako mawazo sawa na yeyeKosa la kuwa na mawazo tofauti na wengine?
Ni Jesca bhanaHuyo wa Iringa anaitwa Joyce Msavatavangu na siyo Jesca Msambatavangu.
duh!hilo jina la mwisho!hahahahaaa..Wasimsahau Jesica Msavatavangu
Atakuwa amepewa onyo kaliHuyu mrembo naye kasalimika vipi mbona kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama pia kisa ana mahusiano ya kimapenzi na mbunge wa upande wa pili...?View attachment 479739
Huyu mgeja si alishajitoa mwenyewe kipindi cha kampeni?Iringa-Jesca msambatavangu
Mara- Christopher SANYA
Shinyanga- Khamis Mgeja
Naona hiyo renovation ni kwa wale waliopingana na mtukufu malaikaWaende CHADEMA huko!!CCM tunafanya RENOVATION kubwa sana
Mtukufu mwenyekiti amejiskia vibaya kumtimua mteule wake bwana Nchimbi.Hapo hamna haki kabisa.. Hahahahaha..
Kosa la Mama simba na hao waliopewa onyo linatofauti gani??
Mwisho wa siku mtajuana wenyewe..