Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

O
Amfuate huko huko, CCM ni ya Wanachama si mtu kama ilivyo kwa baadhi ya Vyama.
 
Yaani kumuunga mkono mgombea mwingine ni kosa la kufutiwa uanachama? Kwenye uchaguzi lazima kuwe na makundi ya wagombea, siyo usaliti huo
 



Ok, nimewapata maana nakumbuka safari ya Nape Nnauye na Abdulrahman Kinana Iringa mwaka 2013 huyo mama alitajwa kama Joyce.

Ni hayahaya ya waandishi wetu kuandika habari zisizo sahihi, kama ni hivyo.
 
CCM inakua chama cha mwenyekiti, sizonje anajipanga vyema 2020 apite bila kupingwa
 
Hapo hamna haki kabisa.. Hahahahaha..
Kosa la Mama simba na hao waliopewa onyo linatofauti gani??
Mwisho wa siku mtajuana wenyewe..
Mtukufu mwenyekiti amejiskia vibaya kumtimua mteule wake bwana Nchimbi.
 
Walipoambiwa toroka uje hawakuelewa sasa wanasomeswa namba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…