Mubashara aishie huko hukoSijawahi ona mwenyekiti muoga kama huyu, hata mabadiliko yanayo fanywa si kwa maslahi ya chama bali ni kwa matakwa yake, ila hayo mawazo yake asilete kwenye katiba eti ufutwe ukomo wa kugombea tutamchinjia baharini hadi aone aibu.
Chadema wakifukuza wssaliti ooh chama cha kufukuzana saa hizi eti wahamie shimo la uchafu! PoleAhamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Sizonje alisema kanyoka kamekufa kana chezesha mkia......baadae akaomba poo.....chezea CDM weyeee... Ikikohoa kombati zanafagia barabara na kupanda miti.Bora CCM wameamua kuvua unafiki ....wapinzani wanaibeza CCM inayojitengeneza ...watatutawala hadi labda wajukuu zetu wajielewe lakini si upinzani huu uliojaa ujanja ujanja ....
Jaribu basi kwenda na mawazo tofauti kwa Mbowe uone!Kumbe ni marufuku kuwa na mawazo tofauti ndani ya ccm, uhuru wa mawazo kwao ni mwiko.
Tuanze na Katiba Mpya, Katiba ya wananchi. Tumekuwa tukishauriana kujenga nchi kupitia hilo. Nje ya hapo ujenzi wa taifa ni porojo tu. Ni Bahati mbaya sana baadhi mmeingia kwenye hizo porojo baada ya Zitto na Slaa kusaliti harakati za Mabadiliko. Ni ushahidi kwamba mpo kutetea "personalities" as beneficiaries of the economic of affection, not "issues".Pia ni vyema kwa nguvu hizo hizo ungewashauri Chadema ili waishinde kirahisi CCM hii iliyo kwenye "maturity level" ....tunaisaidia sana CCM ijirekebishe kuliko pia kukosoa siasa za upinzani ambazo hata CCM iwe dhaifu kwa level ipi ....HAWAWEZI kuwang'oa madarakani .....ndio maana wengine tunaoona upande mwingine wa CCM huko Chadema ....tuache propaganda tuambiane ukweli nchi ipone ....
Kwani umeambiwa hiyo adhabu ina uhusiano na timu Fulani?!! Acha kiherehereHawajawatendea haki kwakuwa hapakuwa na mwana ccm ambaye hakuwa na kundi...Mbona Mrisho Gambo alikuwa team Membe na alimuhujumu Mussa Zungu live na tuhuma zake zimefunikwa ...??
hata jk aliimba lakini akamkatilia mbali.Huyu PM hata video zilimuonesha akiimba "Tunaimani na Lowasa"
Acha kujifanya umesahau
Hiyo barabara waliotoa fedha ni AfDB chini ya uongozi wa JK... Tofauti iliyopo kati ya kanda pendwa na kanda isiyopendwa ni teuzi tu. Wa kanda pendwa hata awe na makandokando ya aina gani kama ilivyo kwa Daudi haguswi ila atoke wa kanda isiyopendwa aambiwe ameiba kijiko tu uone atakavyofurumushwa...Usikonde mambo yatakaa shwari tu, naiona Arusha inajengwa, barabara zinasukwa, juzi kati nilienda Dodoma ile barabara ya Kondoa na Wilaya ya Chemba imetulia sana...
Mi ni wa kanda Pendwa ila sioni tofauti yoyote ukiwa kanda pendwa na ukiwa kwenye kanda isiyo pendwa, tena maeneo ya kanda pendwa kama Simiyu sio shega kama kanda isiyo pendwa...
mkuu kunyongwa tu unadhani na pia unawekwa kwenye kiroba unaokotwa ruvuHiki chama kinakoelekea ukibishana na mwenyekiti unanyongwa
katoto katamu balaaHuyu mrembo naye kasalimika vipi mbona kulikuwa na mpango wa kumvua uanachama pia kisa ana mahusiano ya kimapenzi na mbunge wa upande wa pili...?View attachment 479739
Hako ka kiume? [emoji15]katoto katamu balaa
Shukrani mkuuIringa-Jesca msambatavangu
Mara- Christopher SANYA
Shinyanga- Khamis Mgeja
Nyie si mlimshambulia sana kwa madai ya muuza IRV fake! Machadema bana , Leo mnasema ni mtu makini ha ha ha ha!Comrade...madabiba, hususan, ni muhanga wa siasa za "mchezo mchezo, na ujanja ujanja", lkn anajitambua sana nje ya siasa, ni msomi (miongoni mwa wahitimu waliokuwa wakivishwa shahada siku ya mahafali ya UD, miaka hiyo, na nyerere mwenyewe)....sasa hapa, ndio penati yake.....uelekeo!
......"ataenda upande wa pili wa mto, au atasonga mbele akibaki kuwa mpiga kura, mwenye kuyumba na "kweli ya nyakati", kama kina sisi"...
Unajihami?? Mwenyekiti wa UWT miaka mingi unamuita mzoga? Wewe Ndio mzigo namba mojaHili jalada aliliacha mwenyekiti mstaafu, na hapa mwenyekiti ametekeleza tu! Chukueni hiyo mizoga nyie mnaopenda kunyonga ije ijiite "kamanda" hahahaaaaaa