mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Mubashara aishie huko hukoSijawahi ona mwenyekiti muoga kama huyu, hata mabadiliko yanayo fanywa si kwa maslahi ya chama bali ni kwa matakwa yake, ila hayo mawazo yake asilete kwenye katiba eti ufutwe ukomo wa kugombea tutamchinjia baharini hadi aone aibu.