Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Bora CCM wameamua kuvua unafiki ....wapinzani wanaibeza CCM inayojitengeneza ...watatutawala hadi labda wajukuu zetu wajielewe lakini si upinzani huu uliojaa ujanja ujanja ....
Sizonje alisema kanyoka kamekufa kana chezesha mkia......baadae akaomba poo.....chezea CDM weyeee... Ikikohoa kombati zanafagia barabara na kupanda miti.
 
Pia ni vyema kwa nguvu hizo hizo ungewashauri Chadema ili waishinde kirahisi CCM hii iliyo kwenye "maturity level" ....tunaisaidia sana CCM ijirekebishe kuliko pia kukosoa siasa za upinzani ambazo hata CCM iwe dhaifu kwa level ipi ....HAWAWEZI kuwang'oa madarakani .....ndio maana wengine tunaoona upande mwingine wa CCM huko Chadema ....tuache propaganda tuambiane ukweli nchi ipone ....
Tuanze na Katiba Mpya, Katiba ya wananchi. Tumekuwa tukishauriana kujenga nchi kupitia hilo. Nje ya hapo ujenzi wa taifa ni porojo tu. Ni Bahati mbaya sana baadhi mmeingia kwenye hizo porojo baada ya Zitto na Slaa kusaliti harakati za Mabadiliko. Ni ushahidi kwamba mpo kutetea "personalities" as beneficiaries of the economic of affection, not "issues".
 
Hawajawatendea haki kwakuwa hapakuwa na mwana ccm ambaye hakuwa na kundi...Mbona Mrisho Gambo alikuwa team Membe na alimuhujumu Mussa Zungu live na tuhuma zake zimefunikwa ...??
Kwani umeambiwa hiyo adhabu ina uhusiano na timu Fulani?!! Acha kiherehere
 
Usikonde mambo yatakaa shwari tu, naiona Arusha inajengwa, barabara zinasukwa, juzi kati nilienda Dodoma ile barabara ya Kondoa na Wilaya ya Chemba imetulia sana...

Mi ni wa kanda Pendwa ila sioni tofauti yoyote ukiwa kanda pendwa na ukiwa kwenye kanda isiyo pendwa, tena maeneo ya kanda pendwa kama Simiyu sio shega kama kanda isiyo pendwa...
Hiyo barabara waliotoa fedha ni AfDB chini ya uongozi wa JK... Tofauti iliyopo kati ya kanda pendwa na kanda isiyopendwa ni teuzi tu. Wa kanda pendwa hata awe na makandokando ya aina gani kama ilivyo kwa Daudi haguswi ila atoke wa kanda isiyopendwa aambiwe ameiba kijiko tu uone atakavyofurumushwa...

Amefukuzwa mmoja pale Umeme kwa sababu za kijiweni tu na kawekwa mpya kutoka kanda pendwa. Maskini sasahivi tuna ka mgao cha kimya kimya na tunakaa kimya tu..
 
Wakuu si vibaya tukifahamu wajumbe wa vikao vya ccm vilivyoweza kuwavua uanachama viongozi hawa , maana wanaweza kuingia kwenye vitabu vya kumbukumbu hapo baadaye .

Je Mh Kinana naye yumo ? Mangula je ? Salim Ahmed Salim naye ni mjumbe ? Mwandosya naye yumo ? Vipi kuhusu Marais wastaafu , nao ni wajumbe ? Warioba naye yumo ?

Ni vema " Mashujaa " hawa wakafahamika .

Naomba kuwasilisha .
 
Jmn chadema inawapa homa sana ee manake ukichukua kikamanda kimoja tuu cha chuo kikuu inabidi uandaee wenyeviti hamsini hv wa wilaya kupingana nae kihojaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12]
 
Comrade...madabiba, hususan, ni muhanga wa siasa za "mchezo mchezo, na ujanja ujanja", lkn anajitambua sana nje ya siasa, ni msomi (miongoni mwa wahitimu waliokuwa wakivishwa shahada siku ya mahafali ya UD, miaka hiyo, na nyerere mwenyewe)....sasa hapa, ndio penati yake.....uelekeo!
......"ataenda upande wa pili wa mto, au atasonga mbele akibaki kuwa mpiga kura, mwenye kuyumba na "kweli ya nyakati", kama kina sisi"...
Nyie si mlimshambulia sana kwa madai ya muuza IRV fake! Machadema bana , Leo mnasema ni mtu makini ha ha ha ha!
 
Hili jalada aliliacha mwenyekiti mstaafu, na hapa mwenyekiti ametekeleza tu! Chukueni hiyo mizoga nyie mnaopenda kunyonga ije ijiite "kamanda" hahahaaaaaa
Unajihami?? Mwenyekiti wa UWT miaka mingi unamuita mzoga? Wewe Ndio mzigo namba moja
 
Hivi Sophia ana undugu na Iddi ? Iddi yule aliyekuwa nadhani waziri wa viwanda na biashara zamani.
 
Back
Top Bottom