Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali


Siku zote huwa nayaheshimu maandiko.....maana ni ya mtu anayetumia vyema kilichomo kichwani mwake......

Bravo.....
 
Profesa, uliyoyasema ni sawa, ila tatizo la Watanzania wengi ukiwemo wewe mnasubiri kufanyiwa. Hamtaki kushiriki mambo ya kijamii. Lakini mnarefusha midomo kwa Yale yanayofanywa na wenzenu bila kujua changamoto zinazowakabili. Huu ni unafiki Mkubwa Sana. Hivi ktk mazingira Haya tutafanikiwa kuunda baiskeli? Hakika tutaendelea kuwa mizigo kwa dunia.
 
Dhambi ya usaliti ni kutosha tu. Heri kuwa na wanachama waaminifu 10, kuliko wanachama wasaliti 100.
 
Frankly speaking,kama walikiuka miongozo na taratibu za chama chao ni haki yao kabisa kuadhibiwa,na si chama cha kwanza kufanya maamuzi kama haya,Chadema ilifanya hivyo kwa akina ZITTO,K.MKUMBO,MWIGAMBA,M.MWAMPAMBA,J.SHONZA,na wengine wengi,baada ya kufukuzwa Mtela Mwampamba,Juliana Shonza na wengineo,walikimbilia CCM,(IKUMBUKWE WALIFUKUZWA,HAWAKUHAMA).Siku wanajiunga na CCM baada ya kutimuliwa CHADEMA,walipokelewa na mwenyekiti wa CCM wakati huo,Mh.Rais mstaafu,Jakaya Mrisho Kikwete.na sasa wanatumikia nafasi mbali mbali ndani ya serikali yetu.

Maana yake ni kwamba,kufukuzwa uanachama haimfanyi mtu kuwa USELESS,anaweza kuendelea na siasa ila mahala pengine,au anaweza kuamua kujipumzisha tu,hayo ni maamuzi binafsi.

Tusiwahukumu watakapoamua kujiunga na vyama vingine,wanaweza kuhamia huko na wakawa wanachama waaminifu kama walivyo wakina Mtela Mwampamba na Juliana Shonza,wanafanya kazi zao vizuri kabisa na kwa weledi uliotukuka,(nazungumza kwa dhati kabisa,pasipo kuwa na ushabiki wowote).

Tuwatakie maisha mema na maamuzi yao yasiwe ya hasira,watulie na wafanye maamuzi sahihi kwao.
 
Kuna kitu hapa niliwahi kusema
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia!. Akishika Chama, Watakoma
Paskali
 
Kwani Lowassa, Sumaye, kingunge walirudisha kadi? Mbona hawajathibisha kutowatambua?!
 

Mie huwa sielewi hizi kauli, wabunge wa chama tawala waliokataliwa majimboni ni sawa kabisa wakipewa madaraka na chama tawala tena hata baada ya kutumbuliwa kwenye hayo madaraka wanaweza kuonekana wanafaa tu kupewa hata ubunge. Ila wakienda Chadema ghafla wanageuka kuwa makombo na makapi.
 
wangepotezwa wote...ila kwani kum support Lowassa si ilikuwa imeshaisha? au walikuwa wana msupport chini kwa chini?
CCM siku zote huwa hawakurupuki kuchukua hatua. Na wakichukua maana yake wamejiridhisha! Hongera CCM kwa maamuzi mazuri. Bado Bashe!
 
Huyu anatufaa CDM. Karibu mama
 
Madabida sijui hata atakimbilia chama gani.. Hahahaha..

Hao waliofukuzwa hawabebeki!
 
Sio kipindi hiki wale wenye interest binafsi ndani ya chama hawana raha kabisa na haya mabadiliko
 
Kweli ujinga na maradhi vitaendelea kumtawala na kumsumbua mtanzania yaani kupunguza wajumbe kushiriki katika maamuzi eti ndio mabadiriko na kukifanya chama kua cha wananchi wa chini....kweli wewe ulioturoga watanzania ulikufa zamani
 
Bora adui wa nje kuliko adui wa ndani. Safi sana JPM
 
Chadomo walivyo mazuzu, wanasikitika Sofia kufukuzwa uanachama kwa usaliti! Mbona Zitto mlimfukuza kwa kosa lile lile la usaliti! Mbona hamkumtetea!!!?
Alitetewa na ccm. Kwani wewe ulimtetea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…