Mkuu
Richard ngoja ngoja nikudadavulie kwa ufupi sana kuhusu huyo mama.
1.Kwanza anaitwa Jesca Msambatavangu. Alikuwa diwani wa ccm kata ya miyomboni mkoani Iringa.
2. Pili anakaaa Iringa mjini pale mitaaa ya uhindini (Karibu na duka maarufu la miyomboni pharmacy mujini Iringa). Vijana wa kitanzini wanajua vema, mshindo , makorongoni mpaka pale ofisi yakel ilipo mitaa ya saba saba. Opposite na makaz salim asas wa asas milk.
3. Amesoma elimu ya kiutu uzima Q.T pale Iringa , akasoma shahada /degree ya kwanza chuo kikuu cha Tumaini -Iringa. Pia masters yake kachukua pale pale , nitafatilia zaid kwenye vyanzo vyangu kama alifanikiwa Kuhitimu PhD pale Tumaini maana kuna kipindi alikuwa anachukua shahada ya uzamivu (PhD).
4. Aliwahi kuingia mgogoro na mama Monica mbega (former MP -Iringa constituency) ,pia mkuu mwakalebela Utakuwa naye anamkumbuka kwa namna alivyomletea zengwe kwenye kupitishwa kugombea ubunge , Mzee asas wa Asas dailies anajua vema.
5.Aliwahi kufundisha kule kitwiru na kuuza vitumbua na maandazi (akimsaidia mama yake) mpaka pale alipokutwa na mzungu akiwafundisha watoto wa hali ya chini lugha ya malkia licha ya yeye kuishia la7 tu tena kwenye kibanda cha nyasi (mbavunza mbwa) ,ndipo alipopata wafadhiri wa kumjengea shule niliyoitaja pale juu.
6. Ni mama mjasiriamali mzuri sana na mpambanaji wa uhakika. Muulizs jah pipo wa makambako (sanga deo).,pindi chana wa karibunna NMC Iringa, Mzee Abeid kiponza, Kija wako ally (mlugulu wa Moro aliwahi kuuza solo kuu Iringa, alikuwa mlinzi wake -ana black belt aliopata toka kwa sensei Yahhya, alikuwa pewa nafasi flani ya umoja wa vijana kusini huko) , ukitaka kumjua vema Kija ally msaidiz wa Jesca msambatavangu muulize kijan ammoja white hivi anaitwa ibrahimu ngwada (babu yake aliwahi kuwa kiongozi Mkubwa wa dini).
Ukozengua ntashusha utirio zaid kuhusu huyu mama msambatavangu...wewe dhani kila mtu humu JF ni mwensio kumbuka falsafa ya mwl kila walipo 3basi kuna....wangu.
7.Ni mmiliki wa shule ya kimataifa maarufu sana Iringa ijulikanayo kama star international ipo ipogolo maeneo ya kitwiru..na kwa kweli kwa ile shule ni nzuri kitaaluma ni bora kwa wale wazee wa shule za hi...madam, gd morning dad, etc. Hii itawafaa.
NB: siyo kila unayemuona hapa ukadhani ni mtu wa sport sport kutoka ufipa ,
Ukibisha ntamwaga uturio wake mpaka namna alivyozenguana na Mme wake bwana mmoja wa songea.
Au tukudadavulie na madabida na mgeja pia. ????
Usije omba pooooo lakini.