Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
mbona hata onyo hajapewa?Siku zake zinahesabika
kama ana tatizo kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona hata onyo hajapewa?Siku zake zinahesabika
Kwa makosa yake haikustahili kupewa Onyombona hata onyo hajapewa?
Hakuna atakayepinga mabadiliko hayoHili ni tishio ili watu waogope kutopitisha mabadiliko.
Sasa si angehamia tu CHADEMA kuungana na mumewe! Alikuwq anasubiri niniHivi kumsapoti lowassa ni dhambi? waje upande wa pili wapambane.
Tunakarabati nyumbaKimenuka
Kosa la kuwa na mawazo tofauti na wengine?Kwa makosa yake haikustahili kupewa Onyo
uchafu CDM itakao acha kuupokea ni wewe na mijizi ya vyeti.Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
basi hana makosa serious kama unayotaka kutuaminisha hapa, eti siku zake zinahesabikaKwa makosa yake haikustahili kupewa Onyo
Hahahahahaaaaa. Oil Chafuuchafu CDM itakao acha kuupokea ni wewe na mijizi ya vyeti.
Tatizo lenu CCM ni pale mnapowachukia wanachama wenu wanaosema ukweli, mnataka chama kiwe cha wanafiki watupu!! Bashe hana unafikiBado Bashe