Said S Yande
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 879
- 652
hakuna rufaa, maskini ccm wamekosa wenye busara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1.YES sina ushabiki na chama chochoteEbu pima hizi kauli zako, alafu ujue unafiki wako umeuficha wapi?
1. Huna ushabiki na vyama.
2. Utaelekea kujiunga CCM.
3. Iwapo CDM (sijui kwanini hujaifikiria ATC au CUF)itamchukua hata mmoja wao.
4. Utaichukia rasmi (sijui ni lini ulianza kuwa na mapenzi na CDM)
Hivi chadema ndio imependekeza muwafukuze?
Serikali Yake imekuwa Ya kufanya Vitu Kwa tension Ya Mkuu Wa Nchi.Viongozi wake wengi ni wanafiki/Waoga.MKUU SIYO KWAMBA HAPENDI KUKOSOLEWA UNA KOSOA UNA KOSOA KWA LIPI EM KOSOA BASI TUONE.
Hawajamfukuza kingu .....bashe.....olesendeka....na wabunge wengi tu.Kimenuka...
Sibanduki leo hapa .
Sasa kama hayakuhusu unayafuatilia ya niniWakati Bashite bado anajiita mkuu wa mkoa na ziro yake anatumbuliwa aliyepingana na maamuzi ya chama ambacho hakituhusu wananchi tulio wengi.
Inashangaza sana.
Mtandao uko kwenye mioyo ya watu Kwa hiyo kumtosa Sophia ifahamike alikuwa na back up ; Yeye akitumika tu kumfunga paka kengele. Wako wapi walioimba tuna imani na Lowassa!? Mbona walikuwa wengi? Wawatoe wote Kama wana ubavu? Akina Membe et al. Walichofanya ni kupulizia tu air refresher lakini mzoga bado is there to stay na solution ni kuutoa na kuuzika na siyo kupulizia air refresher. I mean hardcore wasaliti bado wako ndani ya chamaLowasa huko aliko analia kwa uchungu
wapinzani marufuku kufanya siasa, wakifurukuta tu ndani wanawekwa btena bila dhamana, wapinzani wote wanao criticise serekali wana kesi za kutosha.Ccm ina haki kumwondoa au kumkubali mwanachama kupitia vikao n.k. lakini tuzingatie sana watanzania wote bila upinzani changamoto itakufa. Hata ktk biashara unahitaji upinzani ili uboreke uwe na nidhamu pia. Kwa nchi yetu kwa sasa upinzani upo dhaifu sana unachangiwa na mambo mengi. Illa ni muhimu na ni jambo zuri kwa Ccm kwa na Taifa kwa ujumla wake kuwepo na upinzani wenye nguvu ili Taifa lisonge mbele kwakutambua ufisadi ubadhirifu n.k. na pia ujue kipimo cha utawala wako. Lakini kwa upinzani huu sio jambo zuri kabisa kwa mustakbali wa nchi hii kisiasa na kiuchumi. Bado tu wachanga ktk demokrasia tunahitaji kupiga hatua. Hata kama Ccm inatawala uwepo upinzani wenye nguvu kiuchumi na katika sifa za viongozi wao pia sio kwa hali hii ya sasa ya upinzani wapo dhaifu. Ni maoni yangu tu.
Kwa hiyo kosa la Sophia lina tofauti gani na ya Nchimbi na Kimbisa?!? Mind you, Nchimbi amepewa ubalozi na Mwenyekiti wa chama, kilichompa onyo la usaliti!!Kwani Majaliwa ndiyo kaibeba CCM? Angekutwa na hatia angefukuzwa pia, uwaziri mkuu angeteuliwa mtu mwingine.
Siyo wote waliosimama na kuimba "tunaimani na Lowassa" wamefukuzwa uanachama. Kuna sababu za msingi zilizofanya tuwafukuze tuliowafukuza.
Ikitokea Majaliwa anakiuka maadili ya chama, basi hata yeye hatakuwa na kinga ya kufukuzwa. Lakini, kwa sasa hivi, Majaliwa hana hatia yoyote ile.
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna
utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka
wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia
kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wen
Watu wanafikiri haya maamuzi yamefanywa pasipo kuwa na sababu.Kosa kubwa la Sofia sio kuimba.. ' tunaimani na lowasa' bali alivujisha siri nyingi za chama kipindi cha uchaguzi . Na ndio maana JPM kipindi kile alisema kuna wenzetu mchana wapo ccm usiku wasaliti.
Kwa akili zako timamu unafikiri CCM wanaweza kukubali katiba ya wananchi? Katiba ambayo itaondoa status quo? Tena chini huyu sadist dikteta uchwara?Mkuu issue ya Katiba mpya si issue ya Chama ....Chadema hawawezi kushinikiza na kushinda issue ya Katiba mpya bila kupata support kutoka CCM... ....