Return2roots
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 874
- 438
Niliwahi kuwa ccm, kwa mujibu wa sheria, miaka hiyo...lkn ulivyoingia mfumo wa vyama vingi, mi nimebaki kuwa mfuasi wa ukweli....na si chadema, wala ccm, wala cuf.....Nyie si mlimshambulia sana kwa madai ya muuza IRV fake! Machadema bana , Leo mnasema ni mtu makini ha ha ha ha!