Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

Sophia Simba, Madabida wavuliwa uanachama CCM. Emmanuel Nchimbi apewa onyo kali

acha uongo Lema amefanya mkutano Arusha na habari zimefika nchi nzima.......TV na Redio nyingi ni za watu binafsi huwezi kuwapangia cha kutangaza.....kama watu binafsi wameweza kuanzisha Tv na Redio CHADEMA wameshindwaje kuanzisha wakati wanalipwa ruzuku..?
Kila kitu na muda wake ndio maana kuna scale of preference,Vipi CCM ina TV stations na radio ngapi???????/
 
watastafu siasa!

Nakubaliana na wewe, Sophia Simba amekwisha kuwa mzee sasa na Ramadhani Madabida hawezi kuingia upinzani kwani ana mazagazaga mengi ambayo CCM watayafumua na kisha kumfunga au kumfilisi!! Ana madeni aliyokopa na hajalipa ya kiwanda chake cha madawa Arusha; ana kesi ya kutengeneza ARV feki ambayo ilizikwa kwa sababu ya uccm wake !!! hayo yote ndio yatamfanya afyate mkia na kustaafu siasa kama alivyofanya mkewe!!
 
kiukweli chadema wakishindwa kuchukua nchi 2020 basi hawatoweza tena.

hakuna kipindi kitakuwa kirahisi kama hiki.

magufuli kwa staili ya uongozi wake hata msipopiga kampeni, Whitehouse mnayo.

let us wait,
Unajidanganya sana mkuu tena unaendelea kujidanganya kama 2015 ulivyokuwa unaota na mabadiliko ya kuzungusha mikono.
JPM kawashika PABAYA......
 
Sio CHADEMA wala Sio CCM, tena afadhali huku CCM kwa sasa wanafagia fagia hakuna anaeona vizuri hasa watu wa chini wapo tu tunakoenda ndio huko huko, utamshangaa mtu wa CHADEMA pove linamtoka utadhani kwake hakuna udikteta, tena huyo Tundu Lizu nani wa kupinga wazo lake, semeni ukweli? Na Mbowe nani wa kumkosoa kwa sasa? Si umeona waliojaribu yaliyowakuta, na najua hamna uchaguzi wa Mwenyekiti tena dah...

Siasa za Tanzania ni bora wale wasio na vyama lakini hawa mashabiki uchwara ambao hata katiba za vyama vyao hawazijui ni shida... wako kusubiri nani wa kumtukana na kuongea USHILAWADU badala ya kujadili hoja za msingi kwa maendeleo ya taifa hili..

CCM acha ifagie, wakimaliza tunasubiri kama CHADEMA na nyinyi mtafagia au hayo makombo waliotupa chini CCM ndio mtaokota kama kawaida yenu?

Maana hamtaki kujibidiisha na nyinyi mkae mezani mle chakula fresh sijaona hata program za kuelemisha vijana wenu kuhusu maono ya CHADEMA kila siku viongozi wenu kwenye makorido kulinda nafasi zao kwa kutafuta kashfa ya mahakamani au ya kuuchafua utawala, huku mkipata washabiki badala ya wanachama watakao kijenga chama.
Well said, ...
 
Huyu Madabida si yule alikuwa kila mara kweny ziara za mkulu alikuwa front line na yeye kukagua?
 
Kila kitu na muda wake ndio maana kuna scale of preference,Vipi CCM ina TV stations na radio ngapi???????/
chama kina Zaidi ya miaka 20 unasema muda bado....CHADEMA hawana dira wala uelekeo wanasubiri matukio ndio wayadandie....madawa ya kulevya wameshayadandia mara vyeti vya makonda ndio ajenda yao kuu sasa hizi CHADEMA ni chama hopeless kabisa
 
Hata PM si aliimba ule wimbo tunaima na Lowassa......
 
Mmm, inaweza isiwe rahisi kiivo ila hata ccm itapita kwa sababu ya udhaif, udictator au ubabe wa katiba yetu.
 
Labda njia ya kuzimu!!! Mimi nawashauri chadema watafute mgombea mwingine !! Kwa aliyepo!! Mmmmmh!!!
 
kiukweli chadema wakishindwa kuchukua nchi 2020 basi hawatoweza tena.

hakuna kipindi kitakuwa kirahisi kama hiki.

magufuli kwa staili ya uongozi wake hata msipopiga kampeni, Whitehouse mnayo.

let us wait,
Headlights on the clear way
 
Unajidanganya sana mkuu tena unaendelea kujidanganya kama 2015 ulivyokuwa unaota na mabadiliko ya kuzungusha mikono.
JPM kawashika PABAYA......
Ccm imezikwa leo hapa dodoma wewe endelea kujikomba sisi ndio tunajua
 
Sawa we mwaga povu kumsifia na kumfagilia nkurunzinza utafikir upo UK ngoja hili jini mnalofuga liishiwe damu halafu iwe zamu yako kunyonywa ndo utaelewa maana wengine mnasubili popobawa ale msambwanda ndo utaelewa alichosema lissu kuwa white house imevamiwa na muumiani! Yaan wewe ndo boga kabisa unaona kabisa chama kinaliwa msembwende na popobawa we bado huamini sasa zamu yako haina muda mrefu
 
Back
Top Bottom