Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VipoInaonekana viroba bado vipo vingi mtaani.
CUF wamegawanyika kwenye kesi ya Lipumba kuna wanaomkubali na wanaomkataa, je Zito kuna aliejitokeza pinga maamuzi yalipotolewa?
Narudia kesi ya Sophia Simba sio sawa na ya Lipumba ipo sawa na ya Zito Kabwe!..Msajili hana maamuzi labda mahakama waende!..
angalia significance ya dar na mbeya.... mbeya majimbo 4 ipa dar majimbo kma 6 hivi na halmashauri kubwa kubwa zote ikiwemo na jiji la dar sasa impact yake ni kubwa sana kumbuka ilala na kinondoni ni moja ya halmashauri zinazoingiza pesa nyingi zaidi tanzania so kuangukia upinzani ni bonge la hasara kwa wapiga dili wa ccm lazma wakuwajibisheDuh kumbe ndiyo hivyo? Mbona mwenyekiti wa CCM Mbeya hajafukuzwa?
Hamna shida kma waniona sijui lolote lakini mkuu freeland the path your taking ths days sikuelewi kabisa anyway ni maamuzi yako nayaheshim kinachonikera ni propaganda za kitoto yaani watu wasiwatetee walioonekana wameonewa kisa MBONA CHADEMA HAKUNA DEMOKRASIA!!!hahahahhahaa....mkuu...kuna kitu kizuri sana inabidi ujifunze kuhusu hao CHADEMA...Bado hujui aiseee
Pole sana
........tafuta mchaga mwenzio umdanganye huu ujinga !wanaxhama wote walihusika kutunga katiba mpya ambayo haina ukomo wa muhula wa mwenyekiti sasa mbowe anaingiaje hapo?? kamati ilikuwa chini ya baregu na mnyika na ilikuwa 2006 kipindi hata mbowe hajamaliza miaka 2 kwenye kiti ssa ulifkiri alikuwa amejizatiti kiasi cha kudictate katiba???
zitto hajaitwa msaliti kisa kugombea uenyekiti ila matendo yake yalimfanya asiaminike ukaribu na kikwete pia kuwa na mismamo tofauti nje ya chama ndo kulimfanya aonekane na walakini na msumari wa mwisho ilikuwa WARAKA bila waraka sioni jinsi gani angetolewa maana angeonekana kaonewa ila waraka ulionyesha dhahiri nia yake ovu ya kutaka kugawa chama maana alitaka aweke pandikizi kwanzia makao makuu hadi kwenye shina je hyo ni halali???
mimi sio mchagga mbona huku kigoma ujijitunaisupport chadema miaka mingi tu? dar mbeya iringa hiyo miji mikubwa yenye wapiga kura wengi sana mbona sio wachagga wote ila wamesupport chadema???
acheni propaganda ccm kma mnaona waliomtaka lowasa walikuwa wengi si mngefanya maridhiano tu maadam uchaguzi umepita ssa ya kufukuzana ya nni???
mkuu mimi namjua zitto kuliko wwe na nmeshawahi ishi naye under one roof kwa miaka zaidi ya 4 ssa u either take it or leave it the choice is yours.........tafuta mchaga mwenzio umdanganye huu ujinga !
Hata leo wapo watu wanao dai Muungano hauna maana na hauna ridhaa ya wananchi ! zitto junior
...........Zitto anamjua mamaake na mkewe tu! mnafiki wewe ! zitto juniormkuu mimi namjua zitto kuliko wwe na nmeshawahi ishi naye under one roof kwa miaka zaidi ya 4 ssa u either take it or leave it the choice is yours.
HAHAHHAHAHA sawa mkuu..... na iwe hivyo maana ni ngumu kumuaminisha nyani kuwa asali ni tamu kuliko ndizi...........Zitto anamjua mamaake na mkewe tu! mnafiki wewe ! zitto junior