makilo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 2,620
- 5,260
Upo sehemu unatembea kwa
miguu,
kati kati ya safari yako ukiwa huna
hili
wala lile unashtuliwa na Kofi moja
zito
la Uso mpaka unafumba macho,
ile
hujakaa sawa inakuja Ngumi ya
pua..
unajaribu kukimbia unapigwa
mtama kimo cha mbuzi, Halafu
unasikia sauti
ikisema"NILIKWAMBIA IPO SIKU
NITAKUKAMATA TU" Ile unainua
sura
unakutana na mtu usiemjua
kabisaaa.
halafu na yeye baada ya kukuona
vizuri
anasema "SAMAHANI
NIMEKUFANANISHA....! kama
wewe
utafanya nini?
miguu,
kati kati ya safari yako ukiwa huna
hili
wala lile unashtuliwa na Kofi moja
zito
la Uso mpaka unafumba macho,
ile
hujakaa sawa inakuja Ngumi ya
pua..
unajaribu kukimbia unapigwa
mtama kimo cha mbuzi, Halafu
unasikia sauti
ikisema"NILIKWAMBIA IPO SIKU
NITAKUKAMATA TU" Ile unainua
sura
unakutana na mtu usiemjua
kabisaaa.
halafu na yeye baada ya kukuona
vizuri
anasema "SAMAHANI
NIMEKUFANANISHA....! kama
wewe
utafanya nini?