Sory nimekufananisha

Sory nimekufananisha

Nilishawahi kunikuta Mimi kabisa "aiseee niliumia sana Nilizabwa kibao cha Maana na Mama mmoja hivi _ baadae Akaniambia samahani nimekufananisha na mtoto wangu "et nguo zimefanana " ilikiwa mida ya alasiri Niko na masela [emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]
 
Anapomaliza kusema samahan nshampa bonge la kelbu hapo na bonge la mtama halaf nasema msamaha wako umekubaliwa
 
Ukimwangalia kifua utadhani anakula zege, utafanyaje?? Nadhani namchekea niende zangu home nikajikande.
 
Nilishawahi kunikuta Mimi kabisa "aiseee niliumia sana Nilizabwa kibao cha Maana na Mama mmoja hivi _ baadae Akaniambia samahani nimekufananisha na mtoto wangu "et nguo zimefanana " ilikiwa mida ya alasiri Niko na masela [emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]


Enhee, ulifanyaje? Nakuona ukijisunya halaf ukaondoka na hasira zako tu
 
Hapo ni police then mahakani. Ashitakiwe kwa kushambulia na kudhuru bila kukusudia. Fidia lazima hapo
 
Aiseeee!!!Nitampiga vimbaya sana

Nikimaliza kumupiga namwambia nimekufananisha
 
Upo sehemu unatembea kwa
miguu,
kati kati ya safari yako ukiwa huna
hili
wala lile unashtuliwa na Kofi moja
zito
la Uso mpaka unafumba macho,
ile
hujakaa sawa inakuja Ngumi ya
pua..
unajaribu kukimbia unapigwa
mtama kimo cha mbuzi, Halafu
unasikia sauti
ikisema"NILIKWAMBIA IPO SIKU
NITAKUKAMATA TU" Ile unainua
sura
unakutana na mtu usiemjua
kabisaaa.
halafu na yeye baada ya kukuona
vizuri
anasema "SAMAHANI
NIMEKUFANANISHA....! kama
wewe
utafanya nini?
Ha ha namwambia sasa Mkuu simama ni zamu yangu kulipiza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
looo tungegawana majengo ya serikali;
mi hospitali yeye polisi;
 
Upo sehemu unatembea kwa
miguu,
kati kati ya safari yako ukiwa huna
hili
wala lile unashtuliwa na Kofi moja
zito
la Uso mpaka unafumba macho,
ile
hujakaa sawa inakuja Ngumi ya
pua..
unajaribu kukimbia unapigwa
mtama kimo cha mbuzi, Halafu
unasikia sauti
ikisema"NILIKWAMBIA IPO SIKU
NITAKUKAMATA TU" Ile unainua
sura
unakutana na mtu usiemjua
kabisaaa.
halafu na yeye baada ya kukuona
vizuri
anasema "SAMAHANI
NIMEKUFANANISHA....! kama
wewe
utafanya nini?
mmeirudia hii
 
Back
Top Bottom