"Sote watatu ni wapenzi na tunalala kitanda kimoja"

"Sote watatu ni wapenzi na tunalala kitanda kimoja"

Kwahio hapo kuna mwaume Kamili huyo mwenye Kofia,mwanamke mwenye jinsia mbili na mwanamke mwenye jinsia moja?

Kwamba mwanaume kamili alikuwa na mahusiano na mwanamke wa jinsia mbili,kwa sababu mpenzi wake Huyo ana hitaji kutimiza haja ya jinsia ya kiume ndio nayeye akapata mpenzi(mwanamke kamili)ndio wakawa watatu?

Kama sijaelewa mnieleweshe.
 
Mtu mmoja anawezaje kuwa na jinsia mbili? Au huwa wanazitengeneza.
wapo mkuu ila inakuwa hivi haziwezi kufanya kazi zote kwa pamoja
Eidha ifanye ya kiume lakini ya kike isifanye kazi kiufasaha

Ama ifanye ya ya KIKE ila ya KIUME isifanye kazi kiufasaha(na huwa kidogo dicho sana)

Ndipo unaweza ukakuta ANA MUONEKANO WA KIMWANAMKE kila kitu kabisa ila nyenzo zake ya kiume ndo inafanya kazi vizuri kabisa
Ingawa QYUMA anayo

Au ukakuta MWANAUME kabisa GENTREMAN lakini kabeba MIMBA utakuta hawa MASHINE inasimamisha VIZURI lkn SYTEAM yake ya UZAZI ipo njema mpka mfuko wa UZAZI
Nadhani ushawahi kuona wanaume wanaooshika ujauzito lkn ana mke wake au GIRLFRIEND wake ila anaamua yeye kubeba MIMBA kwa njia ya kupandikiza MANII au
Labda sijui anapigwa DUDU mpk mimba hapo sielewi ila anakuwa na uwezo wa kubeba mimba na uwezo wa kupeleka moto kwa mkewe anao pia

Kama Ushawahi unaangalia PORN VIDEO
yale MASHEMALE yenye MIDUDU mikubwa na MAZIWA na MISHAPE YA HAJA wale sio jinsia mbili wale ni MASHOGA na huwa wanafelwa tu
ni wanaume wenye NGUVU zao waliamua kufanya SURGERY kukuza matiti hips kuchonga sura nk ili wawe MASHOGA
 
Kwahio hapo kuna mwaume Kamili huyo mwenye Kofia,mwanamke mwenye jinsia mbili na mwanamke mwenye jinsia moja?

Kwamba mwanaume kamili alikuwa na mahusiano na mwanamke wa jinsia mbili,kwa sababu mpenzi wake Huyo ana hitaji kutimiza haja ya jinsia ya kiume ndio nayeye akapata mpenzi(mwanamke kamili)ndio wakawa watatu?

Kama sijaelewa mnieleweshe.
Hao wanawake wawili wote wana jinsia mbili kwahiyo wanasaidiana kuridhishana kwenye jinsia ya kiume, na huyo Fletcher (mwanaume anawaridhisha hao wanawake wote wawili)
 
Kwahio hapo kuna mwaume Kamili huyo mwenye Kofia,mwanamke mwenye jinsia mbili na mwanamke mwenye jinsia moja?

Kwamba mwanaume kamili alikuwa na mahusiano na mwanamke wa jinsia mbili,kwa sababu mpenzi wake Huyo ana hitaji kutimiza haja ya jinsia ya kiume ndio nayeye akapata mpenzi(mwanamke kamili)ndio wakawa watatu?

Kama sijaelewa mnieleweshe.
Hawa wanawake kila mmoja (wote) wana jinsia mbili
 
Hao wanawake wawili wote wana jinsia mbili kwahiyo wanasaidiana kuridhishana kwenye jinsia ya kiume, na huyo Fletcher (mwanaume anawaridhisha hao wanawake wote wawili)
Aisee,kumbe ndio hivyo
 
Nilichokua sijaelewa ni huyo mwanamke asie na mtoto anavyosema akitaka kupata mtoto lazima ashsuriane na mwanamke mwenziwe, inamaana huyo mwanamke mwenziwe anauwezo pia wa kumpa mtu mimba au vipi? Kama atabebeshwa mimba na mwanamme inakuwaje so be ruhusa kwa mwanamke wakati wore wanalala kitanda kimoja? Hayo mahusiano ni very complicated kwa kweli.
 
Huenda umri wangu sahihi ni miaka 82 badala ya hii 78 niliyonayo, haiwezekani mada fupi hivi nashindwa kuielewa pamoja na kuisoma mara 3

Kweli kuishi kwingi kuona mengi 🙌🤪
Pole sana bibi kama hujaelewa hiyo mada yangui kumbe kizee wewe nilifikiri mzee niko peke yangu humu jamvini kumbe wapo wazee na wengine soma tena bibi utaelewa mada yangu nilicho andika.
 
Nilichokua sijaelewa ni huyo mwanamke asie na mtoto anavyosema akitaka kupata mtoto lazima ashsuriane na mwanamke mwenziwe, inamaana huyo mwanamke mwenziwe anauwezo pia wa kumpa mtu mimba au vipi? Kama atabebeshwa mimba na mwanamme inakuwaje so be ruhusa kwa mwanamke wakati wore wanalala kitanda kimoja? Hayo mahusiano ni very complicated kwa kweli.
Kwasababu huyo mwanamke mwenzie ni mpenzi wake,alomtafuta yeye,yaani,mwanamke kamili hakutafutwa na mwanaume,bali alitafutwa na huyo mwanamke na nusu
 
Back
Top Bottom