Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
- Thread starter
- #41
Asante babu mwenzanguWakongwe wa umri tupo wa kutosha humu Mkuu.
Ila mimi ni Babu Mkuu, siyo jinsia hiyo uliyoitaja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante babu mwenzanguWakongwe wa umri tupo wa kutosha humu Mkuu.
Ila mimi ni Babu Mkuu, siyo jinsia hiyo uliyoitaja
Shukrani pia 🥂Asante babu mwenzangu
Asante kwa ufafanuzi huu mzuri na wa kina, kuna clip nimeona wanawake wanabadilisha jinsia japo unaweza kumwona ni mwanamke. Hizi jinsia mbili ninachoelewa kama ulivyoeleza moja inaweza ikawa na nguvu na nyingine inakuwa kitu tu. Mfano kwa mwanamke anaweza akawa na uume mdogo sana ambao hauna kazi yeyote.wapo mkuu ila inakuwa hivi haziwezi kufanya kazi zote kwa pamoja
Eidha ifanye ya kiume lakini ya kike isifanye kazi kiufasaha
Ama ifanye ya ya KIKE ila ya KIUME isifanye kazi kiufasaha(na huwa kidogo dicho sana)
Ndipo unaweza ukakuta ANA MUONEKANO WA KIMWANAMKE kila kitu kabisa ila nyenzo zake ya kiume ndo inafanya kazi vizuri kabisa
Ingawa QYUMA anayo
Au ukakuta MWANAUME kabisa GENTREMAN lakini kabeba MIMBA utakuta hawa MASHINE inasimamisha VIZURI lkn SYTEAM yake ya UZAZI ipo njema mpka mfuko wa UZAZI
Nadhani ushawahi kuona wanaume wanaooshika ujauzito lkn ana mke wake au GIRLFRIEND wake ila anaamua yeye kubeba MIMBA kwa njia ya kupandikiza MANII au
Labda sijui anapigwa DUDU mpk mimba hapo sielewi ila anakuwa na uwezo wa kubeba mimba na uwezo wa kupeleka moto kwa mkewe anao pia
Kama Ushawahi unaangalia PORN VIDEO
yale MASHEMALE yenye MIDUDU mikubwa na MAZIWA na MISHAPE YA HAJA wale sio jinsia mbili wale ni MASHOGA na huwa wanafelwa tu
ni wanaume wenye NGUVU zao waliamua kufanya SURGERY kukuza matiti hips kuchonga sura nk ili wawe MASHOGA
Unaamini kwenye vitu vya kufikirika sana bwashee, hakuna vitu kama hivyo.Kuelezea ni ngumu Ila wapo km nguva juu mtu chini Samaki
Kama hao wanawake wanaweza kupelekeana moto wao wenyewe huyo mwanamme kazi yake nini tena hapo? Si wampige chini huyo chalii waishi kivyao!Hao wanawake wawili wote wana jinsia mbili kwahiyo wanasaidiana kuridhishana kwenye jinsia ya kiume, na huyo Fletcher (mwanaume anawaridhisha hao wanawake wote wawili)
Mwanamke hawezi kuishi bila Mwanaume kwa sababu nyingi sana mfano social security,finance ,physical workKama hao wanawake wanaweza kupelekeana moto wao wenyewe huyo mwanamme kazi yake nini tena hapo? Si wampige chini huyo chalii waishi kivyao!
Acheni mambo ya kusadikika.
Una 78? Mwongo..khaaHuenda umri wangu sahihi ni miaka 82 badala ya hii 78 niliyonayo, haiwezekani mada fupi hivi nashindwa kuielewa pamoja na kuisoma mara 3
Kweli kuishi kwingi kuona mengi 🙌🤪
Nina huo umri, useme sisi tuliozaliwa zamani tuna miili ya mazoezi 🤪Una 78? Mwongo..khaa
Kumbe navyokupendaga huwa najitafutia kesi🤭Nina huo umri, useme sisi tuliozaliwa zamani tuna miili ya mazoezi 🤪
Hahaha................ukinipenda shauri yako, maana lazima uwe na dawa zetu za Presha na Kisukari jirani.Kumbe navyokupendaga huwa najitafutia kesi🤭
Toba!😲....🤣🤣🤣🙌Hahaha................ukinipenda shauri yako, maana lazima uwe na dawa zetu za Presha na Kisukari jirani.
Vinginevyo wakati nawashusha Wazungu unakuta Mzee miye Presha ishapanda kitambo 🤪
Wapo Kuna dada niliwahi kutana naye Iringa hapo ndio alivyoumbwa ,ila yupo kwenye keMtu mmoja anawezaje kuwa na jinsia mbili? Au huwa wanazitengeneza.
Ndiyo maana huwa tunachangamsha mwili kwa mwaka mara mbili tu 😁Toba!😲....🤣🤣🤣🙌
Zote zinafanya kaziWapo Kuna dada niliwahi kutana naye Iringa hapo ndio alivyoumbwa ,ila yupo kwenye ke
Ke ndio ipo active, kuhusu me sikufuatilia, mi nilikula kimasihara nikapita hiviZote zinafanya kazi
😳Wee,sema kweli?Ndiyo maana huwa tunachangamsha mwili kwa mwaka mara mbili tu 😁
Huamini eeh 😁😳Wee,sema kweli?