Soudy Brown na Shilawadu mmeshindwa kunyapia harusi ya Zamaradi? Kweli hakunaga Uhuru wa habari

Haya bhana
 
We nawe cjui unatetea nin? Nan hamjui ruge au zamarad au wew mkuu? Bila shaka una ndio umenunua tv. Maan Unachotetea hata cjuiiiiiiii. Wale akin Sudie ni vibaraka tyuuu
 
Ni wanawake wachache sana wenye courage ya kufanya alichofanya Zamaradi hasa ukizingatia status ya kifedha ya Ruge na wameshazaa watoto wawili na still ameona hakuna kinachoendelea akaamua kumove on.
It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on.
Hongera Kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…