Soudy Brown na Shilawadu mmeshindwa kunyapia harusi ya Zamaradi? Kweli hakunaga Uhuru wa habari

Soudy Brown na Shilawadu mmeshindwa kunyapia harusi ya Zamaradi? Kweli hakunaga Uhuru wa habari

Wapo wengi tu hawamjui Ruge.

Pia wapo wengi tu hawamjui Zamaradi Mketema.


Na vile vile anaweza kweli akawa anajulikana na wengi lakini akawa hana mvuto wa kufatiliwa habari zake.


Mfano Juma Nature anajulikana sana lakini mvuto wa kufatilia anachokifanya hana.

Anaweza akaachia ngoma lakini watu wasijiangaishe kuitafuta lakini muda huo huo mtu kama Diamond akiachia wimbo ndani ya masaa mawili tu views wanafika 100K+.
Haya bhana
 
Wapo wengi tu hawamjui Ruge.

Pia wapo wengi tu hawamjui Zamaradi Mketema.


Na vile vile anaweza kweli akawa anajulikana na wengi lakini akawa hana mvuto wa kufatiliwa habari zake.


Mfano Juma Nature anajulikana sana lakini mvuto wa kufatilia anachokifanya hana.

Anaweza akaachia ngoma lakini watu wasijiangaishe kuitafuta lakini muda huo huo mtu kama Diamond akiachia wimbo ndani ya masaa mawili tu views wanafika 100K+.
We nawe cjui unatetea nin? Nan hamjui ruge au zamarad au wew mkuu? Bila shaka una ndio umenunua tv. Maan Unachotetea hata cjuiiiiiiii. Wale akin Sudie ni vibaraka tyuuu
 
Ni wanawake wachache sana wenye courage ya kufanya alichofanya Zamaradi hasa ukizingatia status ya kifedha ya Ruge na wameshazaa watoto wawili na still ameona hakuna kinachoendelea akaamua kumove on.
It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on.
Hongera Kwake.
 
Back
Top Bottom