Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Tatizo unachukua sample kwa vijana wa rika lako na wanaokuzunguuka..kuna mwingine anaweza akashangaa kama humjui mheshimiwa Magembe ama Kigwangala ama humjui Jimmy Mwenda Bosco ama humjui Juma Kaseja (Tanzania ina watu wengi wenye interest tofauti na ndio maana usishangae mtu akawa hawajui hao wote na kama anawajua basi ni kwa kiwango cha kusikia majina tu ukileta picha achague hawajui)Mkuu huyu mbona fomous sana na vip ruge kuna asie mjua???
yule nasra ama?Nimecheka.bachela Wa kudumu ruge sio.na le mutuz aitweje? Maana na yeye ameshaachana na fiance wake Yule msomi
wangejapia hii jina la bosi lingetajwa, hawawezi kunyapia scandal inayomuhusu le bossSio bure wamelamba asilimia kumi hawa.. shilawadu wameshindwaje kunyapia
umezungumza lini na hamisa akakwambia hivyo?.....Wakati zamaradi anaona kuendelea kuzaa na mtu ambae hana mpango wa kuoa japo ana mipesa ni uzwazwa........
Hamissa mobetto yeye anaona ni bora azalishwe tu ili mradi anapewa visenti na baba wa mtoto .....
Kweli akili ni nywele kila mtu na zake
Ndo uone maajabu.Wakati zamaradi anaona kuendelea kuzaa na mtu ambae hana mpango wa kuoa japo ana mipesa ni uzwazwa........
Hamissa mobetto yeye anaona ni bora azalishwe tu ili mradi anapewa visenti na baba wa mtoto .....
Kweli akili ni nywele kila mtu na zake
Silijui jina lake ila alikuwa anaandamwa. Mwenyewe le mutuz ameliongelea Kuwa wameshaachana ila na sifa juu kampa. Ameelezea juzi juzi tu.yule nasra ama?
Hivi kulikuwa na future ya ndoa btn them?Ni wanawake wachache sana wenye courage ya kufanya alichofanya Zamaradi hasa ukizingatia status ya kifedha ya Ruge na wameshazaa watoto wawili na still ameona hakuna kinachoendelea akaamua kumove on.
It hurts to let go but sometimes it hurts more to hold on.
Hongera Kwake.
So jamaa kaamua ajibebee matatizo na presha za bei chee.boss hujui hilo mpka leo alikuwa na watoto tena wa 2 wa boss ruge mtahaba
Kama ameamua kufanya hivi ni wazi Ruge hakuwa tayari labda alikuwa anamwambia bado. Akamzalisha na wa pili akaona hakuna dalili akamua kumove on.Hivi kulikuwa na future ya ndoa btn them?
Zama Muislam,Ruge si Muislam.Kama ameamua kufanya hivi ni wazi Ruge hakuwa tayari labda alikuwa anamwambia bado. Akamzalisha na wa pili akaona hakuna dalili akamua kumove on.
Hiyo inaweza ikawa moja ya sababu japo si yenye nguvu sana maana wako wengi waliobadili dini na wakafunga ndoa.Labda hakuwa tayari kabisa na Zama kachoka kusubiriZama Muislam,Ruge si Muislam.
Ndoa ingetokea wapi hapo kwa mfano?
Nasubiria wakujibu!Huyo bwana harus ni nani hapa mjini?
Na Mange yupo smart ktk kuhide ID, hajawahi kukosea!"Eti daa Mange kweli Zama kaolewa" Hd my id
Mume vipi tena[emoji15] [emoji15]Kwahiyo Zamaradi ni staa?