Kwani watoto wametokea wapi? Maana ya ndoa ni nini? Ikiwa imani tofauti via vya uzazi vinaziba? Imani kitu cha kufikirika tu na mtu anaweza kukibadili muda wowote au anaweza kuwa na ndoa bila kuhusisha imani. Maana ya NDOA ni contextual.Zama Muislam,Ruge si Muislam.
Ndoa ingetokea wapi hapo kwa mfano?
Ni kweli Mkuu, kuna watu hawamjui Maxence Mello lakini wanamjua Alex Iwobi, m-Nigeria wa Arsenal!Tatizo unachukua sample kwa vijana wa rika lako na wanaokuzunguuka..kuna mwingine anaweza akashangaa kama humjui mheshimiwa Magembe ama Kigwangala ama humjui Jimmy Mwenda Bosco ama humjui Juma Kaseja (Tanzania ina watu wengi wenye interest tofauti na ndio maana usishangae mtu akawa hawajui hao wote na kama anawajua basi ni kwa kiwango cha kusikia majina tu ukileta picha achague hawajui)
Imani kitu cha kufikirika ndio.Kwani watoto wametokea wapi? Maana ya ndoa ni nini? Ikiwa imani tofauti via vya uzazi vinaziba? Imani kitu cha kufikirika tu na mtu anaweza kukibadili muda wowote au anaweza kuwa na ndoa bila kuhusisha imani. Maana ya NDOA ni contextual.
D
Da mange ndio kasema hivi!!! Basi sawa