Soudybrown wa CMG Diamond Platnumz anao uwezo wa kukuajiri Umfulie tu Nguo zake za ndani

Soudybrown wa CMG Diamond Platnumz anao uwezo wa kukuajiri Umfulie tu Nguo zake za ndani

Sawa shabiki..vp una tumia jina gani insta
IMG_20181210_212844_711.jpeg
 
Mleta thread umeniwahi lakini hakijaharibika kitu.......hawa wa-ngese wa shilawadu wanaudhi sana .
Kama huyo SUDI BRAUZI ni ku-m-a kabisa ni tapeli wa mitandaoni alijaribu kunitapeli eti anauzaga iPHONE ms-e-e--ng-%e alitaka anipige ku-m-zake.....Dai yupo matawi ya juu wao walie na hiyo clouds na hivi imetolewa kwenye vinga'muzi vya dstv na zuku watakufa njaa ma-ni-n-a z-a-o
 
Mleta thread umeniwahi lakini hakijaharibika kitu.......hawa wa-ngese wa shilawadu wanaudhi sana .
Kama huyo SUDI BRAUZI ni ku-m-a kabisa ni tapeli wa mitandaoni alijaribu kunitapeli eti anauzaga iPHONE ms-e-e--ng-%e alitaka anipige ku-m-zake.....Dai yupo matawi ya juu wao walie na hiyo clouds na hivi imetolewa kwenye vinga'muzi vya dstv na zuku watakufa njaa ma-ni-n-a z-a-o
100%
 
Moja kati ya watu wanaoiharibia clouds na kuipotezea mashabiki ni hili kundi la shilawadu, Vijana wamekuwa ni watu wa shari sana na hawapendi maendeleo ya waliowazidi kimaisha.

Bifu la Platnumz na Clouds lilianza pale baada ya Soudy na Kwisa kushushiwa kipigo kikali na Moze Iyobo yote sababu ya kufuatilia maisha ya watu. Baada ya hapo Soudy akawa anamchukia sana Diamond platnuz, wakaanza kumpandisha Aslay ili ampoteze Platnumz lakini mwishowe ikashindikana na Aslay wamemtelekeza, Wakaja kwa Alikiba nae wamempandisha mwishoe wakanyoosha mikono juu.

Soudy amekuwa akimfuatilia sana Platnumz kwa maeneno ya chini chini lakini Platnumz amekuwa haangaiki kumjibu, Soudy now amekuwa yupo tayari kusifia chochote hata kama kibovu ilimradi tu akipambanishe na cha Diamond Platnumz lakini anachemka.

Nimkumbushe tu Soudy Diamond kwa sasa sio Level zake, yaani kamzidi kwa kila kitu na ndio maana juzi Diamond kajitolea Millioni 68 kule Sumbawanga Simple tu kwa ajili ya ujenzi wa shule .

Diamomd anao uwezo wa kumuajiri na kumlipa Soudy mshahara anaolipwa pale Clouds kwa ajili ya kumfulia tu Boxa zake za ndani, Anao uwezo wa kuwalipa Kwisa na Soudy mshahara uleule wanaoupata pale Clouds kwa ajili ya Usafi wa Nyumba yake pale Madale simple tu .

Vijana Muache Dharau msisubirie hadi mtu atangulie mbele za haki kama The great kanumba ndio mzinduke usingizini kukumbuka mchango wake na kuacha majungu yenu.
Wapambe wa diamond mna kazi sana kuliko diamond mwenyewe
 
Moja kati ya watu wanaoiharibia clouds na kuipotezea mashabiki ni hili kundi la shilawadu, Vijana wamekuwa ni watu wa shari sana na hawapendi maendeleo ya waliowazidi kimaisha.

Bifu la Platnumz na Clouds lilianza pale baada ya Soudy na Kwisa kushushiwa kipigo kikali na Moze Iyobo yote sababu ya kufuatilia maisha ya watu. Baada ya hapo Soudy akawa anamchukia sana Diamond platnuz, wakaanza kumpandisha Aslay ili ampoteze Platnumz lakini mwishowe ikashindikana na Aslay wamemtelekeza, Wakaja kwa Alikiba nae wamempandisha mwishoe wakanyoosha mikono juu.

Soudy amekuwa akimfuatilia sana Platnumz kwa maeneno ya chini chini lakini Platnumz amekuwa haangaiki kumjibu, Soudy now amekuwa yupo tayari kusifia chochote hata kama kibovu ilimradi tu akipambanishe na cha Diamond Platnumz lakini anachemka.

Nimkumbushe tu Soudy Diamond kwa sasa sio Level zake, yaani kamzidi kwa kila kitu na ndio maana juzi Diamond kajitolea Millioni 68 kule Sumbawanga Simple tu kwa ajili ya ujenzi wa shule .

Diamomd anao uwezo wa kumuajiri na kumlipa Soudy mshahara anaolipwa pale Clouds kwa ajili ya kumfulia tu Boxa zake za ndani, Anao uwezo wa kuwalipa Kwisa na Soudy mshahara uleule wanaoupata pale Clouds kwa ajili ya Usafi wa Nyumba yake pale Madale simple tu .

Vijana Muache Dharau msisubirie hadi mtu atangulie mbele za haki kama The great kanumba ndio mzinduke usingizini kukumbuka mchango wake na kuacha majungu yenu.
Sasa mie nichangie nini hapa....kwa hiyo wewe ni jaji au refaree?😎
 
Mbona wewe unalala sebuleni kw a"shemeji" tena hapo Jangwani na hatusemi?umetumwa na wa-nge-se wenzako....kawashauri kwanza mhahame sebuleni kwa mkazadadanu!
Kijana diamond anakupakua nini??..mbona una rukaruka sana mbwana mdogo??
 
Kuna mambo uwa yananifurahisha.................... karibia redio zote zina vipindi vya umbea copy n paster kwa soudy lakini yeye tu ndiye alaumiwe.
Tuhuma za Babu Tale na Fela kuwa dhulumu vijana leo zimepotea wamegeuka watetezi wa wasanii kisa tu wana bifu na clouds na watu mziki wa kauvaa, wangeanza kwa kumtetea Rich Mavoko aliyeamua kuvunja mkataba wa kinyonyaji.
Uzuri tanzania ni kama vile tuko kwenye ukumbi wa disco tunaenda na vibe la Dj akibadiri track tunabadiri style...
 
Watangazaji wengi hali zao ni ngumu saana tu,wasipojiongeza kwa mishe za hapa na pale wanatia huruma sana!

Niliwahi ishi apartment moja na mtangazaji mmoja wa CMG,alikua anatia huruma saana,matamasha ndio yalikua yanamuokoa okoa.

Na aliwahi niambia wanarogana saana pale mjengoni hasa kipindi kama hichi cha mwisho wa mwaka ambapo mikataba yao inaisha.

Kuna siku alidondoka kwenye ngazi bahati mbaya mkewe alichamganyikiwa vibaya mnoo,akawa anasema tayari wameshamroga,sijui kuna nani yupo pale CMG anataka achukue nafasi yake kwenye kile kipindi kinaanza na honi ya meli.
 
Back
Top Bottom