Unaelewa maana ya source code lakini? Km ni autocorrect sawa, km umedhamiria bas “source code” ni chanzo cha kitu ambacho ukikibadilisha unabadilisha matokeo .
So ukisema source code ya mahari ni dini na mila za watu.
The term come from programming concept, code unazoandika e.g kwenye C++ zinaitwa source code, zikiwa compiled zinakua objective code