Source ya umasikini Tanzania

Source ya umasikini Tanzania

Kwa hili nakukatalia mbali mleta mada, jieupeshe kabisa kusaka mkopo kwa kutumia ardhi au urithi wako.
Bora uishi kwa makande kila siku, siku zote unapofuata mkopo jiridhishe mara mia moja kwamba una uhakika wa kile unataka kukifanya, kweli kitalipa huo mkopo pamoja na riba, la sivyo kaa mbali.
Kweli kabisa umeongea point huyu anaonekana anaweza kuuza hata nyumba kwa njaa ya siku moja
 
Atuna shida my frnd. Geita kwa mwezi wakusanya Tani 5. 5 za dhahabu. Bado Mbeya
Ya Nini bank. Wakati Kuna pesa za dhahabu Kila Mahali. Bado alimasi na Shana hkooo karibuni na Kenya Samee
 
Back
Top Bottom