South Africa (Bafana Bafana) washika nafasi ya tatu katika Afcon

South Africa (Bafana Bafana) washika nafasi ya tatu katika Afcon

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Timu ya taifa ya Afrika Kusini maarufu kama Bafana Bafana wameshika nafasi ya tatu baada ya kuifunga DR Congo kwa mikwaju ya penati 6-5 baada ya droo 0-0 ndani ya dakika 90.

Golikipa Ronwen Williams wa Bafana Bafana kwa mara nyingine aliibuka shujaa baada ya kuokoa mikwaju miwili ya DRC ikiwemo mkwaju wa nahodha Chancel Mbemba.

Kwa matokeo hayo Bafana Bafana wataondoka na Dola Milioni 3 kama zawadi ya mshindi wa tatu.

Hongera sana kwa Bafana Bafana.
IMG_9848.jpeg
 
DR CONGO hawajielewi wanapanga mimtu ya hovyo. Wamekosa goli nyingi kwa kulazmisha kila mtu acheze. WTF
 
Back
Top Bottom