Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Bongo bana kweli kabisa unasikia serikali imetengeneza ajira 12 M kumbe adi wa kubet.Nasikia hata makondakta hamna...kwetu huku ukisikia serikali imetengeneza ajira ujue mpaka waokota makopo ya maji na wapiga debe wamejumuishwa.
Kabisa kwa data zao wako vzr.Bas hao wako vizur sana ndo maana wana uchumi mkubwa kama kwenye 100 ni 30 tu jobless bas hao jamaa wako okay
Njoo bongo hapa kwenye 100 jua kabisa kwamba 95 ni jobless na hao 4 ndo wana ajira nao ni akina Abdul, riziwan ana akina flan pinda
Sasa uku Hadi MD daktari kazi kupata ni mtiti.Bas hao wako vizur sana ndo maana wana uchumi mkubwa kama kwenye 100 ni 30 tu jobless bas hao jamaa wako okay
Njoo bongo hapa kwenye 100 jua kabisa kwamba 95 ni jobless na hao 4 ndo wana ajira nao ni akina Abdul, riziwan ana akina flan pinda
South africa ni kipande cha ulaya kilichopo africa
HatariNdio umejua leo
Ongeza maelezo hayatoshi kuelezea ni mistari miwili hii mada ni pana sana sio kuandikwa nukta km ulivyofanya. Ibua hoja zako.Hawa vijana wanaoenda South Africa wanajifanya wahuni nafsi zao zishakufa mara nyingi huwenda kufa uko
SawOngeza maelezo hayatoshi kuelezea ni mistari miwili hii mada ni pana sana sio kuandikwa nukta km ulivyofanya. Ibua hoja zako.