M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
- Thread starter
- #41
Tofauti ya zaidi 100 USD na Malawina Airlines ndo nafuu?AirTanzania wana nafuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ya zaidi 100 USD na Malawina Airlines ndo nafuu?AirTanzania wana nafuu
Hii ndio shida ya kusoma memkwa, hujui kwamba sa 9 usiku ama 10 usiku ndio sa 9 alfajiri ama 10 alfajiri niliyoandika mimi.Acha uongo. KQ unaondoka saa 9 usiku (kuna wakati mnapita Zanzibar then Nairobi unaweza ku-connect Nairobi saa 1 au saa 2 na ukafika Johannesburg saa 3 au saa 4 asubuhi.
** Kwa timings nadhani Malawian bado wanaongoza mnaondoka Dar saa 1 na dakika 40 asubuhi mnafika Johannesburg saa 5 asubuhi, misosi kama yote, huitaji kudamka kwenda airport. Same hata siku ya kurudi
pamoja sanaTuwa-support ATC