South Afrika inaishi miaka 200 mbele ya nchi nyengine za afrika,ambazo zinaishi katika giza totoro!hatuna la kusema.

South Afrika inaishi miaka 200 mbele ya nchi nyengine za afrika,ambazo zinaishi katika giza totoro!hatuna la kusema.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Nimeshuhudia mara nyingi katika bara la Afrika ukiwatoa waarabu na nchi ya kusini mwa afrika zikitoa maonyo,msimamo na ushauri katika kila jambo(matukio) yanaloendelea katika baadhi ya nchi mfano vita ya GAZA na hiyo ndiyo maana ya diplomasia(sio kutafuta wawekezaji tu) lazima tulaani na kukemea kwenye dosari yeyote kwa sababu sisi sio kisiwa tunatakiwa kuonyesha misingi yetu kwa nchi nyengine.Ila tatizo njaa zetu tunahofia tunaweza kupoteza interest kwa wahisani shabash!!!.Nchi mfano TANZANIA alikuwa ni BABA wa ukombozi afrika na duniani kote ila kwa sasa tumebakia na historia yetu na tusije kushangaa hizo nchi tulowasaidia hawajatoa appreciation hata kidunchu.
 
Shabash?!!!!! Tumkosoe myahudi wazungi wakatae kumalizia sgr ya kazi gani acha viumane, bongo penyewe hapa kuna wabongo wako taabani kama wanatembea na risasi mwilini
 
Back
Top Bottom