Soya bean ya Kariakoo inatoka wapi?

Soya bean ya Kariakoo inatoka wapi?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Wakuu hivi hii soya bean inayo uzwa madukani/ masokoni kariakoo Na kwingineko jijini Dsm inalimwa wapi?

Concern yangu ni nataka kujua kama ni original au inalimwa hapa hapa Tanzania maana nimesoma Mahali kwamba Soya ni Moja Kati ya bidhaa za kilimo ambazo zinazalishwa katika mfumo Gmo Kwa kiwango kikubwa Sana.

With much thanks in advance
 
MKUU KAMA HUTAJALI NAOMBA UTUANDALIE ZILE MAKALA ZAKO PENDWA ZINAZOHUSU NYOTA, SAYARI NA MAJINI. HUWA NAZIKUBALI SANA
 
I m not sure kwa aina ya soya inayouzwa K/koo lkn kwa Tanzania soya inalimwa kwa wingi Songea na watumiaji wakubwa wa soya ni animal feed producers. Ukiachilia Songea, soya nyingine inatoka Uganda kupitia mpaka wa Mtukula.
 
I m not sure kwa aina ya soya inayouzwa K/koo lkn kwa Tanzania soya inalimwa kwa wingi Songea na watumiaji wakubwa wa soya ni animal feed producers. Ukiachilia Songea, soya nyingine inatoka Uganda kupitia mpaka wa Mtukula.
Asante Sana kaka. Kwa hiyo nisiwe Na wasiwasi kuhusu soya hii ninayo nunua kariakoo kwamba inaweza kuwa GMO?
 
Asante Sana kaka. Kwa hiyo nisiwe Na wasiwasi kuhusu soya hii ninayo nunua kariakoo kwamba inaweza kuwa GMO?
Aisee mkuu niliwahi kuambiwa kua GMO hatuwezi kuzikwepa hasa ukiwa unanunua mazao ya chakula mjini. Hata kama yanalimwa hapa nchini wanaotoa mbegu wanakuwa wameshafanya yao
 
Aisee mkuu niliwahi kuambiwa kua GMO hatuwezi kuzikwepa hasa ukiwa unanunua mazao ya chakula mjini. Hata kama yanalimwa hapa nchini wanaotoa mbegu wanakuwa wameshafanya yao
Jesus
 
Asante Sana kaka
Npo na hii project ya Soya Songwe, japo nyingi inatoka Zambia, kule sana sana wanaitumia kuitengeneza mafuta ya kula na viwanda wanavyo nadhani "MERU " kwa kule anavyo viwanda
 
Safari hii naweza kuwa na soya zipatazo Kama Tani 20. Mwenye kulijua soko la uhakika anijuze ndugu zangu.
 
Safari hii naweza kuwa na soya zipatazo Kama Tani 20. Mwenye kulijua soko la uhakika anijuze ndugu zangu.
ukiwa na mzigo njoo hapa jukwaani anzisha uzi unitag. Huwezi kukosa wateja . Soya ni lulu
 
Malawi wanalima soya kwa wingi,ukihitaji sogea border ya kasumulu.
 
Wakuu hivi hii soya bean inayo uzwa madukani/ masokoni kariakoo Na kwingineko jijini Dsm inalimwa wapi?

Concern yangu ni nataka kujua kama ni original au inalimwa hapa hapa Tanzania maana nimesoma Mahali kwamba Soya ni Moja Kati ya bidhaa za kilimo ambazo zinazalishwa katika mfumo Gmo Kwa kiwango kikubwa Sana.

With much thanks in advance
Sijajua ni aina gani ya soya but kwa wingi hua tuna import Kutoka Malawi na zambia
 
Back
Top Bottom