Spaghetti ya leo fupi!

Spaghetti ya leo fupi!

sakapal : pakiti moja kwa watu wa nne.... thanks! ila hiki kipimo ni chako mwenyewe hakuna member mwingine amataja hivyo sijui huwa unaongezea na msuba kiasi? yaani familia yako ni: baba - Rural Swagga, mama - sakapal, mtoto - Smile ??!

mi nakwambia ama zako ama zangu endelea kujichimbia hukohuko ulikojichimbia maana kuniita daladala haijakutosha, kuniingiza kingi na spagheti zako kumbe unamaana yako kwenye mabano bado haikutoshi na unaishia kuniambia mie tu ndo nimekupa kipimo cha pakti moja watu 4, kumbe.....tena umekuja na kuniozesha kwa Rural Swagga na utu uzima wangu huu, unataka nipigwe na mkewe kuwa nimemchukulia mume? na smile nae ana mzazi wake humu haya leo iweje unipachike mie ndo mama yake......? nakwambia hapa nishafunga kibwebwe........ Mentor weweee mwanzoni nilitaka kukusamehe nikisema ni bange ila sasa hata kama ni bange ukiniona pita mbali, ama zako ama zangu, yaani umetangaza uhasama :boxing: ndondi lazima zilike labda..................
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha kwa jinsi unavyopenda chumvi, hauzidishi kwenye mchuzi kweli?

Babu Asprin unafahamu kuwa Evelyn Salt ni jinsia KE ??! Au ulikuwa na maana ipi?

I will try this at home.
Nimepata shule nzuri hapa
King'asti leo ukifika home ni kujifukizia udi tu...mzee kajitolea! thanks to my thread...:glasses-nerdy:


hili swali limenisaidia..huwa nabahatisha tu

Kumbe mananga tulikuwa wengi ni uoga tu wa kusema. Haya mimisa, kwa wewe wa kike kipimo ni pakiti moja kwa atu wanne. usisahau tena...

mi nakwambia ama zako ama zangu endelea kujichimbia hukohuko ulikojichimbia maana kuniita daladala haijakutosha, kuniingiza kingi na spagheti zako kumbe unamaana yako kwenye mabano bado haikutoshi na unaishia kuniambia mie tu ndo nimekupa kipimo cha pakti moja watu 4, kumbe.....tena umekuja na kuniozesha kwa Rural Swagga na utu uzima wangu huu, unataka nipigwe na mkewe kuwa nimemchukulia mume? na smile nae ana mzazi wake humu haya leo iweje unipachike mie ndo mama yake......? nakwambia hapa nishafunga kibwebwe........ Mentor weweee mwanzoni nilitaka kukusamehe nikisema ni bange ila sasa hata kama ni bange ukiniona pita mbali, ama zako ama zangu, yaani umetangaza uhasama :boxing: ndondi lazima zilike labda..................

Ni nini tena mentali wangu sakapal. huoni nakutafutia madili mazuri ya msuba poa from Karucee iweje niwe na ishu na wewe? namsikiliza babu Asprin? kazeeka huyo wajukuu wanajishikia sharubu tu...awore sumu pfo!!! lekana nae..inyi na iyo nyi kama gauni leupe na bibi anapoenda kaniseny mfro Ruwa!!! cha!
 
Last edited by a moderator:
Ni nini tena mentali wangu sakapal. huoni nakutafutia madili mazuri ya msuba poa from Karucee iweje niwe na ishu na wewe? namsikiliza babu Asprin? kazeeka huyo wajukuu wanajishikia sharubu tu...awore sumu pfo!!! lekana nae..inyi na iyo nyi kama gauni leupe na bibi anapoenda kaniseny mfro Ruwa!!! cha!

Unaona sasa ulivo na maakili, mie nilitaka uje nikupige makwenzi kwanza hasira yangu iishe we kuniita mwenzio daladala ndo nini tena nikageuzie feriii, babu Asprin kanifunua kuwa ulikuwa na maana zako kwenye hizo spageti fupi weeweeeee haya tuu
sasa unajidai kuniletea msuba ili nikusamehe, ila nshaanza kukusamehe ila ile ya daladala bado ntailipiza hata kwa kukufinya tuu
 
Last edited by a moderator:
Unaona sasa ulivo na maakili, mie nilitaka uje nikupige makwenzi kwanza hasira yangu iishe we kuniita mwenzio daladala ndo nini tena nikageuzie feriii, babu Asprin kanifunua kuwa ulikuwa na maana zako kwenye hizo spageti fupi weeweeeee haya tuu
sasa unajidai kuniletea msuba ili nikusamehe, ila nshaanza kukusamehe ila ile ya daladala bado ntailipiza hata kwa kukufinya tuu

Utanfinya wap???:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
 
Hivi banu anajua mi ni mwanaume?????

Bila kujali jinsia, chumvi ni chumvi tu. Au hujui siku hizi kuna maliberali? Najua sana we ni shogake Madame B, na najua sana anakufundishaga tabia mbaya.... Na najua sana yeye anapenda matango na wewe unapenda bamia..... Lakini uliberali hauhuuu

CC: Mentor kwa taarifa na ufafanuzi.
 
Last edited by a moderator:
Experience yangu ya kupika duh!
Nikaambiwa nenda kachochee moto na bibi ( si unajua upishi wa kuni-moto/moshi kama kawa),
Ilikuwa inapikwa samaki na mimi sikuishia tu kuchochea moto ila nilichukua mwiko na kukoroga kilichokuwa kinachemka... wacha!
Hicho kipondo nilichopata siwez sahau, nilikuwa kama 7-8yrs ivi.
 
Bila kujali jinsia, chumvi ni chumvi tu. Au hujui siku hizi kuna maliberali? Najua sana we ni shogake Madame B, na najua sana anakufundishaga tabia mbaya.... Na najua sana yeye anapenda matango na wewe unapenda bamia..... Lakini uliberali hauhuuu

CC: Mentor kwa taarifa na ufafanuzi.

Babu umenivua nguooooooo
 
mi nakwambia ama zako ama zangu endelea kujichimbia hukohuko ulikojichimbia maana kuniita daladala haijakutosha, kuniingiza kingi na spagheti zako kumbe unamaana yako kwenye mabano bado haikutoshi na unaishia kuniambia mie tu ndo nimekupa kipimo cha pakti moja watu 4, kumbe.....tena umekuja na kuniozesha kwa Rural Swagga na utu uzima wangu huu, unataka nipigwe na mkewe kuwa nimemchukulia mume? na smile nae ana mzazi wake humu haya leo iweje unipachike mie ndo mama yake......? nakwambia hapa nishafunga kibwebwe........ Mentor weweee mwanzoni nilitaka kukusamehe nikisema ni bange ila sasa hata kama ni bange ukiniona pita mbali, ama zako ama zangu, yaani umetangaza uhasama :boxing: ndondi lazima zilike labda..................
Leo Nimeamini kwamba Mentor ni Nabii....huwa nimekuwa nikiwaza sana jinsi ya kurusha kete kwako sakapal...Sasa tunafanyaje nipe mwongozo!
 
sakapal :yaani familia yako ni: baba - Rural Swagga, mama - sakapal, mtoto - Smile ??!
And May ur wish be granted brother .....Tatizo Smile ana wiki sasa hatumuoni nyumbani tetesi zinadai huwa anaonekana Kigamboni kwa jamaa mmoja hivi simtaji jina....na ndio aliyevunja ndoa kati ya huyo jamaa na Galfriend wake anaitwa Anitha....nasikia harufu ya ndoa ya mkeka Mentor
 
Last edited by a moderator:
Hii ni dawa mojawapo ya huyu mentali
And May ur wish be granted brother .....Tatizo
Smile
ana wiki sasa hatumuoni nyumbani tetesi zinadai huwa anaonekana Kigamboni kwa jamaa mmoja hivi simtaji jina....na ndio aliyevunja ndoa kati ya huyo jamaa na Galfriend wake anaitwa Anitha....nasikia harufu ya ndoa ya mkeka Mentor
 
Last edited by a moderator:
Mi nimeziona hapa mjini tu. Kijiji utazipata wapi? Hakuna urembo kule ni uhai tu!
 
Back
Top Bottom