Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh msamiati gani tena huo jamani?
sakapal : pakiti moja kwa watu wa nne.... thanks! ila hiki kipimo ni chako mwenyewe hakuna member mwingine amataja hivyo sijui huwa unaongezea na msuba kiasi? yaani familia yako ni: baba - Rural Swagga, mama - sakapal, mtoto - Smile ??!
Hahahaha kwa jinsi unavyopenda chumvi, hauzidishi kwenye mchuzi kweli?
King'asti leo ukifika home ni kujifukizia udi tu...mzee kajitolea! thanks to my thread...:glasses-nerdy:I will try this at home.
Nimepata shule nzuri hapa
hili swali limenisaidia..huwa nabahatisha tu
mi nakwambia ama zako ama zangu endelea kujichimbia hukohuko ulikojichimbia maana kuniita daladala haijakutosha, kuniingiza kingi na spagheti zako kumbe unamaana yako kwenye mabano bado haikutoshi na unaishia kuniambia mie tu ndo nimekupa kipimo cha pakti moja watu 4, kumbe.....tena umekuja na kuniozesha kwa Rural Swagga na utu uzima wangu huu, unataka nipigwe na mkewe kuwa nimemchukulia mume? na smile nae ana mzazi wake humu haya leo iweje unipachike mie ndo mama yake......? nakwambia hapa nishafunga kibwebwe........ Mentor weweee mwanzoni nilitaka kukusamehe nikisema ni bange ila sasa hata kama ni bange ukiniona pita mbali, ama zako ama zangu, yaani umetangaza uhasama :boxing: ndondi lazima zilike labda..................
Ni nini tena mentali wangu sakapal. huoni nakutafutia madili mazuri ya msuba poa from Karucee iweje niwe na ishu na wewe? namsikiliza babu Asprin? kazeeka huyo wajukuu wanajishikia sharubu tu...awore sumu pfo!!! lekana nae..inyi na iyo nyi kama gauni leupe na bibi anapoenda kaniseny mfro Ruwa!!! cha!
Unaona sasa ulivo na maakili, mie nilitaka uje nikupige makwenzi kwanza hasira yangu iishe we kuniita mwenzio daladala ndo nini tena nikageuzie feriii, babu Asprin kanifunua kuwa ulikuwa na maana zako kwenye hizo spageti fupi weeweeeee haya tuu
sasa unajidai kuniletea msuba ili nikusamehe, ila nshaanza kukusamehe ila ile ya daladala bado ntailipiza hata kwa kukufinya tuu
Unadhani nani atapanga meza na kuosha vyombo?King'asti leo ukifika home ni kujifukizia udi tu...mzee kajitolea! thanks to my thread...:glasses-nerdy:
Utanfinya wap???:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Hivi banu anajua mi ni mwanaume?????
Leo Nimeamini kwamba Mentor ni Nabii....huwa nimekuwa nikiwaza sana jinsi ya kurusha kete kwako sakapal...Sasa tunafanyaje nipe mwongozo!mi nakwambia ama zako ama zangu endelea kujichimbia hukohuko ulikojichimbia maana kuniita daladala haijakutosha, kuniingiza kingi na spagheti zako kumbe unamaana yako kwenye mabano bado haikutoshi na unaishia kuniambia mie tu ndo nimekupa kipimo cha pakti moja watu 4, kumbe.....tena umekuja na kuniozesha kwa Rural Swagga na utu uzima wangu huu, unataka nipigwe na mkewe kuwa nimemchukulia mume? na smile nae ana mzazi wake humu haya leo iweje unipachike mie ndo mama yake......? nakwambia hapa nishafunga kibwebwe........ Mentor weweee mwanzoni nilitaka kukusamehe nikisema ni bange ila sasa hata kama ni bange ukiniona pita mbali, ama zako ama zangu, yaani umetangaza uhasama :boxing: ndondi lazima zilike labda..................
hahahahahaha.......hatari sanaaHii ni dawa mojawapo ya huyu mentali