Uislam sio desturi za na Mila za waarabu.Unachanganya mambo.
Ukristo sio dini bali wote wanaomwamini Yesu Christ ndio wa Kristo.
Uislamu ni dini ndio maana ina sharia/mila kama zilivyomila za makabila.
P
Uislamu ni mila na desturi za waarabu na mungu wao allah.
Usichanganye
Nadhani wamejifunza jambo pale Uikrane baada kushadadia yasowahusu.Ufaransa , Spain, Italy wamemuuliza malengo ya hivi vita nini? Kama kumlinda Israel endelea mwenyewe sisi tujilinda wenyewe wamekataa kuingizwa kwenye vita ambavyo hawana maslahi navyo.
Kwanza dini ni nini???Unachanganya mambo.
Ukristo sio dini bali wote wanaomwamini Yesu Christ ndio wa Kristo.
Uislamu ni dini ndio maana ina sharia/mila kama zilivyomila za makabila.
P
Uislamu ni mila na desturi za waarabu na mungu wao allah.
Usichanganye
Dini ni utaratibu/sharia ambazo binadamu wamejitungia kama ulivyo uislamu.Uislam sio desturi za na Mila za waarabu.
Uislam ni taratibu za Mungu za kuishi chini ya Sheria zake.
Katika uislam tuna Sheria sio mila.
Ndio kwanza nakushangaa wewe unasema sio dini ilhali hasta mapadri wanakiri ukristo dini.
Maana hakuna Imani pasi na dini.
Kamchezo gani[emoji3]Yaani nashangaa huyu bwana anajua ku play part yake kama super power.
Kuna kamchezo kanaendelea.
Ni yale yale ya obama akiulizwa na mtoto kuhusu allien akajbu tuna mawasiliano nayo.
Hapa kuna jambo mkuu.
Kuzuia meri kukufikia huku? HUKU WAPI UNAKOKUZUNGUMZIA? Ninachojua mimi Houth wanazuia meri zinazotoka na kwenda Israel tu.kituko houth wanazuia baadhi ya meli kukufikia huku ilo mkajiunge na vita vyao ila ulivyo mbumbuu ndo unashangilia
Dini ni utaratibu mzima wamaisha ya kila siku ya mtu kijanaDini ni utaratibu/sharia ambazo binadamu wamejitungia kama ulivyo uislamu.
Yesu Christ alikuja kututafuta tuliopotea sasa ukimwamini na kumkiri kuwa yeye ni Mwana wa Mungu basi utakuwa mkristo.
Uislamu ni mila za kiarabu
Wewe punguni kama wewe elezea Ukirsto wako kama siyo dini Uislam ni ni mfumo wa maisha ya binadamu kuna Waarabu wengi na mila zao Uislam umekuja kuondoa mila zote.Unachanganya mambo.
Ukristo sio dini bali wote wanaomwamini Yesu Christ ndio wa Kristo.
Uislamu ni dini ndio maana ina sharia/mila kama zilivyomila za makabila.
P
Uislamu ni mila na desturi za waarabu na mungu wao allah.
Usichanganye
Wasiokua waislam wanatakiwa waeleweshwe sana kuhusiana na dini kwahakikaHuyo punguani hajui lolote yeye anajua kumeza uharo wa Waisrael.
Akili zimewarudia sasa maana kule ukraine walibuluzwa wakaingia kwenye ugomvi usiowahusu wao wakawa wanapata hasara mwenzao makampuni yake yanapata faida ya kuuza silaha na gas akawa anawauzia kwa bei ya mara mbili ya sokoni sasa hv anataka kuwabuluza tena kwenye ugomvi wa israel⚡️KUVUNJA
Kuporomoka kabisa kwa Operesheni Prosperity Guardian, baada ya Ufaransa, sasa Uhispania na Italia kujiondoa kutoka kwa muungano huu wa wanamaji unaoongozwa na Marekani dhidi ya Houthis.
Hili ni pigo kubwa kwa mkao wa kimataifa wa Marekani na Marekani lazima sasa ikabiliane na Wayemen na Bahrain yenye nguvu na Ushelisheli.
Mpaka wananchi wao watawashaangaa kwa kweli ...kulinda Israeli kwa gharma yoyote ila khaa nani anataka huo ujingaNaungana na wahouthi
Huu utakua muungano wa hovyo zaidi kuwahi kutokea kubuniwa na United Shits Of Americant
Israle anawapa nini wazungu wenzake maana sio kwa mbeleko hiyo wanayoipata kwa kweliUfaransa , Spain, Italy wamemuuliza malengo ya hivi vita nini? Kama kumlinda Israel endelea mwenyewe sisi tujilinda wenyewe wamekataa kuingizwa kwenye vita ambavyo hawana maslahi navyo.
Lile. Likereai amaeliweka mbali huko na huo mlango maana likizamiahwa ni aibu kwa super power maana ndo anachorimgia duniaKamchezo gani[emoji3]
Watu wanamkataa wanaona aliwaaminisha misaada yake kule Ukraine imemhenyesha itakua huko kwengine
Na vita ya majini mbaya maana huna pakujificha houthi akikuona kakuzamisha kwisha habari yako
Kwatafsiri isio rasmi nikwamba United Shits Of Americant inaendelea kupoteza ushawishi wake siku baada ya siku
Aljazeera kasema kuna United Kingdom, Bahrain, Canada, France, Italy, Netherlands, Norway, Seychelles and Spain na wewe wasemaje?Wanaukumbi..
Baadhi ya nchi hazijathibitisha ushiriki wao, hata hivyo, huku zingine zimesema juhudi zao za kusaidia kulinda trafiki ya kibiashara ya Bahari Nyekundu zitakuwa kama sehemu ya makubaliano yaliyopo ya jeshi la maji badala ya operesheni mpya inayoongozwa na Marekani..
Ukosefu wa maelezo na uwazi juu ya kile ambacho nchi zinafanya kumeongeza mkanganyiko kwa kampuni za meli, ambazo baadhi zimekuwa zikielekeza meli mbali na eneo hilo baada ya mashambulio hayo, ambayo Wahouthi wanasema ni jibu la shambulio la Israeli kwenye Ukanda wa Gaza…
==================
Some countries have not confirmed their participation, however, while others have said their efforts to help protect Red Sea commercial traffic will be as part of existing naval agreements rather than the new U.S.-led operation.
The lack of details and clarity over what countries are doing has added to confusion for shipping companies, some of which have been re-routing vessels away from the area after the attacks, which the Houthis say are a response to Israel’s assault on the Gaza Strip.
Spain, Italy, France Decline US Command Of Red Sea Operation Prosperity Guardian
by Dmitry Zhdannikov (Reuters) The United States is assembling a multinational naval coalition to help safeguard commercial traffic from attacks by Yemen’s Houthi movement. On Thursday, the Pentagon said more than 20 countries had...gcaptain.com
Angalia habari yako lini 21 Dec?Aljazeera kasema kuna United Kingdom, Bahrain, Canada, France, Italy, Netherlands, Norway, Seychelles and Spain na wewe wasemaje?
Greece to join US-led coalition to protect Red Sea shipping from Houthis
The maritime alliance wants to counter threats the Yemeni rebel group says are a response to Israeli ‘crimes’ in Gaza.www.aljazeera.com
United Shits Of Americant anaanza kupoteza ushawishiMpaka wananchi wao watawashaangaa kwa kweli ...kulinda Israeli kwa gharma yoyote ila khaa nani anataka huo ujinga
Pole kijanaAljazeera kasema kuna United Kingdom, Bahrain, Canada, France, Italy, Netherlands, Norway, Seychelles and Spain na wewe wasemaje?
Greece to join US-led coalition to protect Red Sea shipping from Houthis
The maritime alliance wants to counter threats the Yemeni rebel group says are a response to Israeli ‘crimes’ in Gaza.www.aljazeera.com