passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Sasa mbona mimi sipo kwenye hayo mambo mkuu.Dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona mimi sipo kwenye hayo mambo mkuu.Dini
Umeshindwa hata kutetea hoja yako zaidi ya maneno matupu!Wewe ni mtanzania sawa, ila ni myahudi mweusi
Basi sawa mkuu, nisameheSasa mbona mimi sipo kwenye hayo mambo mkuu.
Bankers wa kiyahudi kutoka ulaya, shareholders wa multinational corporations, weaponry manufacturers na defense contractors ndio wanao control sera za ndani na nje za Marekani through lobbying (ipo ndani ya sheria zao, wanasiasa wanafadhiliwa na hivyo nilivyotaja juu ili wapitishe sera zinazowa favor wao....huku tunaiita Rushwa kwao ni harari)hatuna shida na tafsiri hii mkuu.
Tatizo litakuja nitakapokuomba ushahidi juu ya hili.
Embu tuonyeshe hii tafsiri inayosema ina pretend kuwa nchi.
Bado umeleta maneno pasi na ushahidi.Bankers wa kiyahudi kutoka ulaya, shareholders wa multinational corporations, weaponry manufacturers na defense contractors ndio wanao control sera za ndani na nje za Marekani through lobbying (ipo ndani ya sheria zao, wanasiasa wanafadhiliwa na hivyo nilivyotaja juu ili wapitishe sera zinazowa favor wao....huku tunaiita Rushwa kwao ni harari)
Marekani ilihasisiwa na matajiri (wamiliki wa watumwa) walioamua kugoma kulipa kodi kwa Muingereza
Marekani sio taifa kwa maana halisi ya taifa, ni mkusanyiko wa wahamiaji wanao save kama consumers wa makampuni makubwa
Houth zamisha hayo mascrepa ya wazayunihao houth wanaua waislam wenzao huko Yemen , ila mlivyombumbuu houth akiua mmarekan mmoja mnasahau kuwa wameua waislam zaid ya 1000
Wacha nikuelekeze bhana mdogo.Dini ni utaratibu/sharia ambazo binadamu wamejitungia kama ulivyo uislamu.
Yesu Christ alikuja kututafuta tuliopotea sasa ukimwamini na kumkiri kuwa yeye ni Mwana wa Mungu basi utakuwa mkristo.
Uislamu ni mila za kiarabu