Spain Italia, Ufaransa zimekataa amri ya Marekani ya kuwa walinzi wa Bahari Nyekundu.

Spain Italia, Ufaransa zimekataa amri ya Marekani ya kuwa walinzi wa Bahari Nyekundu.

hatuna shida na tafsiri hii mkuu.

Tatizo litakuja nitakapokuomba ushahidi juu ya hili.

Embu tuonyeshe hii tafsiri inayosema ina pretend kuwa nchi.
Bankers wa kiyahudi kutoka ulaya, shareholders wa multinational corporations, weaponry manufacturers na defense contractors ndio wanao control sera za ndani na nje za Marekani through lobbying (ipo ndani ya sheria zao, wanasiasa wanafadhiliwa na hivyo nilivyotaja juu ili wapitishe sera zinazowa favor wao....huku tunaiita Rushwa kwao ni harari)
Marekani ilihasisiwa na matajiri (wamiliki wa watumwa) walioamua kugoma kulipa kodi kwa Muingereza

Marekani sio taifa kwa maana halisi ya taifa, ni mkusanyiko wa wahamiaji wanao save kama consumers wa makampuni makubwa
 
Bankers wa kiyahudi kutoka ulaya, shareholders wa multinational corporations, weaponry manufacturers na defense contractors ndio wanao control sera za ndani na nje za Marekani through lobbying (ipo ndani ya sheria zao, wanasiasa wanafadhiliwa na hivyo nilivyotaja juu ili wapitishe sera zinazowa favor wao....huku tunaiita Rushwa kwao ni harari)
Marekani ilihasisiwa na matajiri (wamiliki wa watumwa) walioamua kugoma kulipa kodi kwa Muingereza

Marekani sio taifa kwa maana halisi ya taifa, ni mkusanyiko wa wahamiaji wanao save kama consumers wa makampuni makubwa
Bado umeleta maneno pasi na ushahidi.

Tuptie ushahidi mkuu.
Tujifunze
 
Countries that have said they will not send warships to the US coalition in the Red Sea:

🇳🇱 Netherlands
🇳🇴 Norway
🇩🇰 Denmark
🇫🇷 France
🇮🇹 Italy
🇪🇸 Spain

The United States and the Seychelles remained so that the United States would not be lonely.
 
Dini ni utaratibu/sharia ambazo binadamu wamejitungia kama ulivyo uislamu.

Yesu Christ alikuja kututafuta tuliopotea sasa ukimwamini na kumkiri kuwa yeye ni Mwana wa Mungu basi utakuwa mkristo.

Uislamu ni mila za kiarabu
Wacha nikuelekeze bhana mdogo.
Tuanze na uislam,uislam ni taratibu na Sheria za Mungu za kistaarabu ambazo binadamu atakiwa azifate.Katika uislam hakuna Mila Wala desturi.
WAARABU WANA MILA ZA UTUMWA UISLAM UNAPINGA UTUMWA,WAARABU WANA DESTURI YA KUINGILIANA KINYUME UISLAM UNAPINGA HILO,WAARABU WANA DESTURI YA KUUA WATOTO WAKIKE WASIPOWATAKA UISLAM UNAPINGA HILO,WAARABU WANA DESTURI YA KUWEKA MATABAKA YA KIFEDHA NA KIKABILA UISLAM UNAPINGA HILO,WAARABU WANA DESTURI YA KUKATAZA WATOTO WAKIKE KUSOMA UISLAM UNAHIMIZA MWANAMKE ASOME MAANA NDIO NGUZO YA FAMILIA KITABIA.
NAHISI HAPO UTAKUA UMEELEWA UTOFAUTI KATI YA UISLAM NA UARABU.
KWA TUNAVYOELEWA SISI DINI NI MWILI WA IMANI WENYE NGUZO NA TARATIBU NA SHERIA ZA KUMUONGOZA BINADAMU KIHAKI NA USAWA NA USTAARABU.

Yesu ni Mungu au Mwana wa Mungu?!1
Maana wenzako wanasema Yesu ni Mungu.
 
Back
Top Bottom