Spain Italia, Ufaransa zimekataa amri ya Marekani ya kuwa walinzi wa Bahari Nyekundu.

Unaonaje Houthi wameingilia ugomvi wa Israel na Gaza wapo sahihi? Na kwanini Marekani asiingilie nae kwenye vita kama Houthi alivyoingilia?
 
Unaonaje Houthi wameingilia ugomvi wa Israel na Gaza wapo sahihi? Na kwanini Marekani asiingilie nae kwenye vita kama Houthi alivyoingilia?
Houthi wanawasaidia wanaoonewa kama anavyofanya us na shost zake kule ukraine
Ila kama anaamua kuingilia aingilie tu si ndio atakua kaishaamua unadhani sisi tutamfanyaje?
 
Msikieni huyu mwanamke wa Kiyahudi anasema nini anasema Saud Arabia na UAE hawataki kuona Gaza inasimamishwa vita na kuna nchi zingine za kiarabu.

Hawataki kuona Hamasiinashinda vita, anasema wanayo ongea kwenye media ni tofauti na wanayo yaongea kwenye private haha sijui hizi aibu Saud Arabia na UAE watazificha wapi

Bado anasema kuna wakati US anawatia pressure wasimamishe vita, laknii warabu hawataki haswa hizo nchi mbili nashaka pia watakuwepo Jordan, Egypt, Morocco, Baharain.


View: https://youtube.com/shorts/GR1oouLbock?si=MxJZDq1nu9uRdNG8
 
Mashallah
 
Kaka nilikuwa namaanisha yule bwege alileta link iliyopitwa na wakati
 
Houthi wanawasaidia wanaoonewa kama anavyofanya us na shost zake kule ukraine
Ila kama anaamua kuingilia aingilie tu si ndio atakua kaishaamua unadhani sisi tutamfanyaje?
🇾🇪 Afisa mwandamizi wa AnswarAllah:

Wakati wa kujaribu kuzuia kombora la balistiki la Yemeni, israel inahitaji takriban dola milioni 5 kwa kombora la kuingilia kati la Arrow-3.

Wakati mwingine, mfumo wao wa AD hurusha zaidi ya kombora moja kwa lengo moja. Vile vile, kunasa kombora la kivita la Yemeni au ndege isiyo na rubani, ambayo haigharimu zaidi ya dola 2,000, inahitaji muisraeli, Mmarekani, au Saudi kutumia kombora la Patriot au THAAD, kila moja kati ya dola milioni 2-3, na wakati mwingine makombora mengi kurushwa. kwa lengo moja.

(Vita vya kiuchumi vilivyo bora kabisa 🔥)
 
Itan wametangaza kuifunga Hormuz, meli yoyote isipite ikiwa Wamarekeni na vibaraka wake wataendeleza kuuwa raia wa Ghaza.
BREAKING: TAARIFA RASMI YA RAIS WA IRAN

INAITWA KWA AMRI MPYA YA ULIMWENGU

"Lazima tufikirie utaratibu mwingine na mpya wa ulimwengu na hii inahitaji juhudi kubwa.

Kilichotokea tarehe 7 Oktoba ni kwa sababu ya mauaji yaliyofanywa dhidi ya watu wa Palestina kabla ya tarehe hii.

Ujumbe muhimu zaidi tuliobeba ni wa kuikomboa ardhi ya Palestina, na haya ndiyo aliyotangaza hayati Imam Khomeini.

Jumuiya ya Kizayuni na Marekani lazima ziadhibiwe kwa mauaji ya kimbari katika mahakama za kimataifa.

Imethibitika kwa dunia nzima kwamba Marekani inafanya mauaji na mauaji ya halaiki licha ya kuwa na midomo juu ya haki za binadamu.

Baraza linalojiita Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa haliwezi kusimamisha vita dhidi ya Gaza.

Moja ya masuala muhimu ni kuondoa mzingiro wa Gaza, kufungua vivuko vya kufikisha misaada, na kuzuia kufukuzwa kwa watu wa Palestina.

Kushindwa itakuwa hatima ya chombo cha Kizayuni.

Gaza lazima iongozwe na watu kutoka Gaza, na wakati umepita ambapo Merika itaamua hatima ya.
 

huyu Rita zainabu serikali inabidi imechukulie kama gaidi yy na magaidi ni kitu kimoja fuatilien nyuzi zake zote…..
Kashakua radicalised
 
Vita ndiyo vimenza upya Israel na magaidi wenzake walivyokuwa wajinga wanapanga mipamgo ya Gaza mpya wakidhani hamna wa kusumbua tena Marekani kaomba msaada wa mataifa mengi kushiriki vita dhidi ya Yemen kaambiwa meli hatoe zake kakataa🤣
 
Unaonaje Houthi wameingilia ugomvi wa Israel na Gaza wapo sahihi? Na kwanini Marekani asiingilie nae kwenye vita kama Houthi alivyoingilia?
100% wapo sahii sababu wao wanachotaka hyo vita iishe na wengine wasiendelee kupitisha silaha kuuchochea zaidi tofauti na kule ukraine waliungana kuzidisha ugomvi badala ya kusuluhisha.
 
Ufaransa , Spain, Italy wamemuuliza malengo ya hivi vita nini? Kama kumlinda Israel endelea mwenyewe sisi tujilinda wenyewe wamekataa kuingizwa kwenye vita ambavyo hawana maslahi navyo.
Hayo makampuni ya meli zinazoshambuliwa mbona sio za israel? Maersk, MSC n.k
 
Hayo makampuni ya meli zinazoshambuliwa mbona sio za israel? Maersk, MSC n.k
Makampuni hata yakiwa sio ya Israel kinacho mata ni mzigo uliobebwa ni wa nani? Nyie misukule mnafali wapi mbona Houthi wametoa maelezo yanayoeleweka bila kutumia nguvu.

Houthi wamesema meri yoyote inayoingia au kutoka Israel ni marufuku kupita hapo yemeni na meri yoyote mali ya Israel ni halali yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…