Spain yazuia meli ya silaha zinazokwenda Israel kutia nanga nchini mwake.

Spain yazuia meli ya silaha zinazokwenda Israel kutia nanga nchini mwake.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Hapo majuzi taifa la Spain liliizuia meli iitwayo Marianne Danica kutia nanga kwenye moja ya bandari zake kwa vile ilikuwa imebeba tani 26.8 ya silaha za miripuko kupeleka Israel.
Meli hiyo ilikuwa ikitokea India na iliomba kutia nanga kwenye bandari ya Cartagena mnamo Mei 26.
Waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo,José Manuel Albares akifafanua msimamo wa nchi yake alisema mataifa ya mashariki ya kati kwa sasa hayahitaji silaha bali yanaka amani.
Nchi ya Spain ni miongoni mwa mataifa machache ya Ulaya yaliyoipigia kura ya ndio Palestina kuwa ili iweze kupata uwakilishi kamili ndani ya umoja wa mataifa.

Spain blocks ship carrying weapons to Israel from docking

 
aliyelaaniwa ni wewe na nchi yako ya watu weusi. Spain imekwisha barikiwa kitambo sana ndo maana ilitawala bara la Amerika ya Kusini na lugha yake inaendelea kuongelewa Marekani ya kusini.
Ilaaniwe Israel
 
aliyelaaniwa ni wewe na nchi yako ya watu weusi. Spain imekwisha barikiwa kitambo sana ndo maana ilitawala bara la Amerika ya Kusini na lugha yake inaendelea kuongelewa Marekani ya kusini.
Naona umechokozwa mwana wa Israel from Tanzania
 
Back
Top Bottom