Spanish tu

Spanish tu

Yo tambien estoy cansado-I’m also tired


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa wale wenye maneno yoyote ya Kihispaniola unatupia hapa

Me naanza na haya usisahau kuweka maana yake kwa kingereza au kiswahili ili watu waweze angalau kuondoka na kitu.

Lengo haswa ni ili tuweze kuelewa kitu kutoka kwenye hii lugha adhimu.


Buenos dias_Good morning.
Buenos tardes-Good afternoon.
Buenos noches-Good evening.

Me illamo Okoth p'bitek-My name is okoth p'bitek

De nada-you are welcome(karibuni)

Sent using Jamii Forums mobile app
Como esta ?- how are you ?
Estoy bien- I'm fine
Y usted/y tu?- and you?
Adios- goodbye
Mucho gusto - nice to meet you

I'm sorry- lo siento
Bless you-salud
I'm hungry- tengo hambre
Please - por favor

See you soon-Hasta pronto
See you later-hasta luego
It's easy-Es facil
It's difficult- Es dificil
It's early-Es temprano
It's late-Es tarde
Don't worry- no te precupes
Enough-Basta
I have finished- He terminado
Have a nice day- Que tenga un buen dia
Bye- chaos👐👐
 
Hello/Hi = Hola
See you later = Después nos vemos/ nos vemos
See you soon = Nos vemos pronto
Good morning = Buenos días
Good afternoon = Buenas tardes
Good night = Buenas noches
Good bye = Adiós
Bye bye = Chao
Until tomorrow = Hasta mañana
Until next time = Hastabla próxima vez/ Hasta la próxima

Sent using Jamii Forums mobile app
Felicidades
 
Solo espera-just wait Triste-sad
Feliz-happy
Acupado-tired
Siempre-always
Aburrido/aburrida-Bored
Conmigo-with me
Contigo-with you
Sin-without
Siento -I feel
A veces-sometimes
Otra vez-again


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
ASA ckieni ma broders tufanye kitu kimoja OK.kujifunza lugha yoyote kuna step zake ni kama mtoto mchanga hawez kuzaliwa ana ongea ama kutembea ama kukimbia lazima apitie steps zote kama kukaa kutembaa finally kutembea the same kwenye lugha huwez ukaanza kujifunza verbs ama pronouns b4 alphabets salamu so tuanze kwanza na vitu vidogo so tutaanza na kitu kimoja kimoja anaefaham atatueleza tutatoa michango na kuuliza maswali then tutakariri na kuelewa then tutamove on to another task hii itakuwa easy kwa beginners to gain something .hatutamzuia ataetaka kufundisha chochote kile ata kama ni verbs b4 kujifunza alphabets lakini tutamake sure kila MTU anaelewa .YANGU ni hayo yeyote mwenye mchango anakaribishwa
 
KWA WALE WANOTAKA KUANZA TOKEA MWANZO WA KIHISPANIA (+ KITALIANA), KUNA LINK YA YOUTUBE NIMEIWEKA HAPO JUU..... AHSANTE
 
ASA ckieni ma broders tufanye kitu kimoja OK.kujifunza lugha yoyote kuna step zake ni kama mtoto mchanga hawez kuzaliwa ana ongea ama kutembea ama kukimbia lazima apitie steps zote kama kukaa kutembaa finally kutembea the same kwenye lugha huwez ukaanza kujifunza verbs ama pronouns b4 alphabets salamu so tuanze kwanza na vitu vidogo so tutaanza na kitu kimoja kimoja anaefaham atatueleza tutatoa michango na kuuliza maswali then tutakariri na kuelewa then tutamove on to another task hii itakuwa easy kwa beginners to gain something .hatutamzuia ataetaka kufundisha chochote kile ata kama ni verbs b4 kujifunza alphabets lakini tutamake sure kila MTU anaelewa .YANGU ni hayo yeyote mwenye mchango anakaribishwa

Kweli kabisa mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom