Spare za Tv, Radio, Computer na nyingine zinazofanana na hizo

Spare za Tv, Radio, Computer na nyingine zinazofanana na hizo

kokudo

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
2,571
Reaction score
1,760
Wasalaam

Kama heading inavyosema naomba kujua ni vitu gani vya kuanza navyo kwenye biashara ya spare part za Tv Radio, Computer nk.
 
Fanya utafiti aina ya TV zinazomilikiwa na majority kisha chunguza zinaharibika nini zaidi.
Tembelea Youtube kuna watu wengi wana propose mambo ta kuzingatia.
 
Fanya utafiti aina ya TV zinazomilikiwa na majority kisha chunguza zinaharibika nini zaidi.
Tembelea Youtube kuna watu wengi wana propose mambo ta kuzingatia.
Asante ndugu
 
Wasalaam

Kama heading inavyosema naomba kujua ni vitu gani vya kuanza navyo kwenye biashara ya spare part za Tv Radio, Computer nk.
Nenda kwenye duka la utengenezaji wa computer na TV, muulize fundi.
Kwa Computer zinazoharibika sana ni AC adapters/chargers
 
Mkuu .nimefanya sana ufundi computer ivyo nakushauri kwa vitu vyakuanzia nunua adapter na power zake,nunua vioo vya laptops ,uwe na keybod,na kingine uwe unanunua mashine mbovu upate disk ram na chipi kutoka kwenye izo mashine ili ukipata shida ya mashine iliyozima uweze kubadili chip kwa uraisi..
kama una swali unaweza uliza
 
Mkuu .nimefanya sana ufundi computer ivyo nakushauri kwa vitu vyakuanzia nunua adapter na power zake,nunua vioo vya laptops ,uwe na keybod,na kingine uwe unanunua mashine mbovu upate disk ram na chipi kutoka kwenye izo mashine ili ukipata shida ya mashine iliyozima uweze kubadili chip kwa uraisi..
kama una swali unaweza uliza
Nashukuru mkuu
 
Back
Top Bottom