Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo


Nitake kukujua kwa lipi na kwa kipi?

Mi sina mda mchafu wa kutafuta hasara ya kujuana...

Naona povu lakutoka kutumwa salamu hahahah

Sihitaji kujua hata jina lako ila nisalimie akina matola na billionaire pitgan hahahah

Au hutaki nimtume mwingine?
 
Nitake kukujua kwa lipi na kwa kipi?

Mi sina mda mchafu wa kutafuta hasara ya kujuana...

Naona povu lakutoka kutumwa salamu hahahah

Sihitaji kujua hata jina lako ila nisalimie akina matola na billionaire pitgan hahahah

Au hutaki nimtume mwingine?

Hahhhhahhhahhaha nitume mimii
Ila unipe pesa situmwi bureee
 
Unapomkosoa mwenzako ni busara na wewe usiingize mzaha kwenye andiko lako maana English haiwezi kuwa englisiii.

Aaaah hivi kumbe nimekosea nahisi itakuwa typing error si unajua ni usiku sasa hivi
 
Mimi ni mesenja hapa JF? kama una hamu nao pm ni ya kazi gani hapa? au ndio uko hapa kuprovoc watu halafu ukimbilie kwa mods? grow up acha tabia za kishamba na ushuleshule.
 
Mimi ni mesenja hapa JF? kama una hamu nao pm ni ya kazi gani hapa? au ndio uko hapa kuprovoc watu halafu ukimbilie kwa mods? grow up acha tabia za kishamba na ushuleshule.


Kwani kaka mbona unayakuza wakati madogo tu?

Si ungetaa tu kama hutaki? siku hizi kuna satellite Kali hata ukilala inakumulika kama hujui muulize Remote halafu ruksa ya kutoka jela na kuja kuzurura anakupa nani?
 
Last edited by a moderator:

I'm not here to make headlines neither to dispute your perception nor to criticize you but to air my view, kuhusu kiingereza usibeze mtu kwa matumizi ya yours na you are kwa kusema hajaenda shule these are common mistakes used by even highly educated people including Affect vs effect, their, they are and there, fewer vs less and your vs you are these are common mistakes you will often see people's social media profiles nk as long sio mtihani sioni issue hapa hata wewe hukuona unafanya errors kwa kiingereza na Kiswahili one hour ago umekosea kuandika dharau. I don't see big issue at all
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…