Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hahahah usimuanzie visa tu
Mie tenaaa lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah usimuanzie visa tu
Haya bana mpe yote kaka yangu hadi aisahau jamii
Eeeeee ni vizuri bana mwache akamatilie fursaa
Nimeshakueleza unajifanya mjuwaji wakati hakuna ulijuwalo, unabwatabwata usivamie mji kwa pupa zamani hapa hatukuwa na watu wa ajabu ajabu kama wewe kwanza ujifunze na ujuwe name calling ni kosa kwa sheria na kanuni za JF wanaohusoka wenyewe wakijisikia ni hiyari yao kukureport kwa mods, mimi sina muda huo kwa sababu hainiathili chochote.hahah unachekesha unafikiri nakuona hapa tu?
naona umesahau post yako ya kwanza hapa jf umeianzia kwangu hahahahah
ukiniweka kwenye ignore list hainipunguzii uwezo wa kuishi mjini.....
Uwe mkubwa au mdogo kwangu hainisaidiii....
Nimeshakueleza unajifanya mjuwaji wakati hakuna ulijuwalo, unabwatabwata usivamie mji kwa pupa zamani hapa hatukuwa na watu wa ajabu ajabu kama wewe kwanza ujifunze na ujuwe name calling ni kosa kwa sheria na kanuni za JF wanaohusoka wenyewe wakijisikia ni hiyari yao kukureport kwa mods, mimi sina muda huo kwa sababu hainiathili chochote.
kwa kifupi tu nilichogunduwa kutoka kwako huna tofauti na pro ccm wa jukwaa la siasa ukiikosoa tu serikali basi wewe utapachikwa jina la Chadema.
Ndio maana nikasema akili yako ni ndogo sawa na ubongo wa kuku wewe unadhani kila mtu alipo ni muda wa kulala au ni usiku?Lala tu upunguze jazba kwakuwa unayoongea hayana ushirikiano na umri wako.....
Ntakurejea asubuhi ukiishiwa povu
Ndio maana nikasema akili yako ni ndogo sawa na ubongo wa kuku wewe unadhani kila mtu alipo ni muda wa kulala au ni usiku?
Utanilejea ili iweje? utoto kazi sana.
dada usiku mwema nawe
mmmmh fursa tena, nimekuwa pembejeo?
Ndio maana nikasema akili yako ni ndogo sawa na ubongo wa kuku wewe unadhani kila mtu alipo ni muda wa kulala au ni usiku?
Utanilejea ili iweje? utoto kazi sana.
Lala tu upunguze jazba kwakuwa unayoongea hayana ushirikiano na umri wako.....
Ntakurejea asubuhi ukiishiwa povu
Haahhahaah kumbe na we unastukia mchezo mzima???
Haahhahaah kumbe na we unastukia mchezo mzima???
We lalaaa banaa usiku mwemaa
Nipo nchi za watu bina hivi sikukuaga?
Mkuu mi nimempa salamu tu nashangaa kawa mkali kama koboko
Naona umeamuwa kulala macho, two in one safi sana. Mimi nina four in one, simu, laptop, ipad na desktop.
Hahhhhahhhhahhhahha umeandikiwa kibeba box wacha weee si bora tuendelee na mim tu naandika kiswahilio