Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo

Spartakas karudi mjengoni salamu kwa Lusungo

Umewahi kumwona mlevi aliepotea kwake?


Kwahiyo ukiwa navyo nikusaidieje?

Naona unajiabisha tu maana hueleweki kula kona banaa
Welevu wataelewa nilichoongea, nile kona kwenda wapi? wewe ni hapa JF kuwachagulia watu cha kufanya? umesema unaenda kulala kinachokuweka hapa ni nini? usilete tabia za kishangingi hapa.
 
Welevu wataelewa nilichoongea, nile kona kwenda wapi? wewe ni hapa JF kuwachagulia watu cha kufanya? umesema unaenda kulala kinachokuweka hapa ni nini? usilete tabia za kishangingi hapa.

Nani kasema anakwenda kulala?? Hahahah unaweweseka nini??

Naona taratibu unaaza kukunjua makucha yako hahahah
 
Two in one at work, unajitekenya na kucheka mwenyewe kweli JF never boring.

Unajua unaonekana kituko?? Hahahah maskini ya mungu utafiri umekwea mpera wenye uterezi kila tawi linakukataa...

Si kila mtu anamuda mchafu wa kumiliki ID nyingi nyingi...

Usione aibu kwa kulowa sepa tu hahahah
 
Unajua unaonekana kituko?? Hahahah maskini ya mungu utafiri umekwea mpera wenye uterezi kila tawi linakukataa...

Si kila mtu anamuda mchafu wa kumiliki ID nyingi nyingi...

Usione aibu kwa kulowa sepa tu hahahah

Huna hoja unaleta viroja tu, ujinga mtupu eti sepa kwa nini wewe usiskip na uchangie mada nyingine?
 
Wewe huna jipya kung'uta vumbi la mguu kalaleee

Hivi unadhani kila mtu ni mla vumbi mwenzako? pole sana kama unadhani mimi nipo local time zako unahitaji ushauri wa daktari hii ni mental case sasa.
 
Hivi unadhani kila mtu ni mla vumbi mwenzako? pole sana kama unadhani mimi nipo local time zako unahitaji ushauri wa daktari hii ni mental case sasa.

Hahahah kuna nchi haina vumbi? Hahahah unaijua dunia vizuri? Hahahah mchana watu hawalali??? Hahaha poyeeee hahahahah
You are loser hahahah
 
Back
Top Bottom