Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hata hawajuii hebu muulize Excel
dina twambie wewe mana nawe umetajwa
miss neddy unaitwa huku naona bibiye jina lako lamshinda kuita
Eeee mama bhoke jana tumekuita mapema hukujaa kwanini??
Eti tulimsababishiaa ban Huyo muanzisha uzii ndio maana katuandikaa
Mkuu naomba uniunge mkono katika programme yangu ya kufukuza watoto humu waende shule
Kitu pekee kinawafanya waendeleze umajinuni wao ni kwa watu kuchangia threads zao...
Hivyo tatizo si hao watoto isipokuwa tatizo ni watoto wenzao wanaowaunga mkono kwa kuchangia mada zao...
Namna nzuri ya kuwapinga ni kuwapuuzia.
Nami namtambulisha rasmi miss chagga ni mke wangu halali umpende tafadhali
nimepotea njia ooor .....
kitu pekee kinawafanya waendeleze umajinuni wao ni kwa watu kuchangia threads zao...
Hivyo tatizo si hao watoto isipokuwa tatizo ni watoto wenzao wanaowaunga mkono kwa kuchangia mada zao...
Namna nzuri ya kuwapinga ni kuwapuuzia.
Daddy umenena vyema ni kupuuza tu maana wataleta fyuuuuuuuuuuuuuuuu zingine
Mamito rudi njia kuu kuleeee
Waoooo mamiee tulikutafutaaa aisee pole sana nakumbuka siku ile tulikua tunachart sijui ulienda wapi ukakutana na jazba huko lo na Munkari alikutafuta kwelii
Mambo niaje..
Nsharudi kwa maaana hawa wanachafua khali ya hewa tuu cijui wanatoka wapi
achana nao ila nawatengenezea dawa yao watatoka tu
maana hii dawa itawafanya wajisikie double double
niliingia jukwaa la siasa kule ndo kulikoniletea majanga na balaa nikalambishwa ban ndefu bestito
ndo nimerudi majuzimajuzi tu hapa nashukuru kwa upendo wenu kweli jf nina zaidi ya ndugu
Mambo niaje..
Nsharudi kwa maaana hawa wanachafua khali ya hewa tuu cijui wanatoka wapi