ghalama ya business names elfu 40? Wapi na wapi bhanaaaa?business name ni sh 6,000/ labda utuambie ghalama za kusajili limited company mkuu
nitaweka gharama za usajili wa Company Limited ,kuanzia mtaji mdogo kabisa mpaka maximum , kwa mujibu wa Brela. Hiyo elfu 40 sijui kaipata wapi, nasikitika sana kuona watu wanakurupuka kujibu vitu wasivyovijua, ni bora kukaa kimya ama kuuliza ili ujue
Je kuna umuhimu wa kusajili bizness name?
Hiki ndo kinacho hitajila hapa watu wenye uaminifu, maana sisi wabongo tunapenda vitu vya bule
Mie kwetu mwanza nigependa kujua garama za register company limited kwa mtaji wa 1million ni sh.gapi, maana nimeshajua garama zakeregister business name
Mungu akuzidishie mara 70*70*70
Ninayo furaha kuwafahamisha kwamba nimeweza fanya kazi na member kadhaa wa Jamiiforums,waishio mikoa tofauti tofauti zinazohusu usjaili wa Business Name na Company Limited .
Walifahamu kuhusu mimi na ujuzi wa maswala ya usajili baada ya kujibu thread za member kadhaa humu waliouliza maswala ya usajili , rejea thread : Msaada kusajili jina la biashara na Jinsi ya Kusajili Kampuni Tanzania (rejea post page 127)
Wafuatao niliwasajilia Business names
Ally Msangi (Mwanza)
Chasha (Arusha) picha ya kwenye avatar yake(LAKE MANAYARA CHICKS) ndio jina alilonitumie nimsajilie
Mc Hestone Jr (Arusha) kuna tangazo lake la YEGGO BROTHERS GROUP jina ambalo alinitumia Mimi kumsajili
Qsm ( Arusha)mdada pekee niliyefanya naye kazi na pekee aliyerudi na feedback jukwaani jf
WAM(Arusha ) sijatumia jf id sababu sikuifahamu,nimejaribu tumia initials za jina lake halisi
ALF(DAR ES SALAAM)
Elie Chansa (Arusha)
Kln Group(Dar es salaam) hili ni jina la biashara ,wenyewe id zao hawakuniambia japo walinifahamu pitia jf
Velx school and Office Supplies(Dar es Salaam)
Kwa Upande wa Company Limited
Elie Chansa (Arusha)Nimeshalipia usajili wa Company( within two weeks Certificate of Incorporation itatoka
Mwalimu wa Jitegemee SEKONDARI (Dar) hakuniambia Id yake ,ila alipata taarifa zangu humu,yeye kanilipa malipo yangu yote,Mungu akijalia kesho asubuhi namlipia usajili .
Nawashukuru wote walioniamini kufanya na mimi kazi huku hawanijui,wamenijengea CV nzuri kwa kazi za mtandaoni hasa kuhusu usajili. Nina ndoto za kuwafikia Watanzania wengi zaidi ambao nitawasaidia kuhusu usajili wa Jina la Biashara na Company Limited.
Nawakaribisha wengine niwasaidie aidha kwa ushauri ama kwa vitendo kuhusu usajili wa Business Names na Company Limited.
Niliowataja IDS zenu samahani kama itawaletea usumbufu,ila nimefanya hivi ili wengine ambao hawajafahamu kuhusu kazi ninazofanya ,basi wafahamu kupitia ninyi
nipigie 0712 74 22 33 Kwa swala linalohusu usajili Brela
nitaweka gharama za usajili wa Company Limited ,kuanzia mtaji mdogo kabisa mpaka maximum , kwa mujibu wa Brela. Hiyo elfu 40 sijui kaipata wapi, nasikitika sana kuona watu wanakurupuka kujibu vitu wasivyovijua, ni bora kukaa kimya ama kuuliza ili ujue
nitaweka gharama za usajili wa Company Limited ,kuanzia mtaji mdogo kabisa mpaka maximum , kwa mujibu wa Brela. Hiyo elfu 40 sijui kaipata wapi, nasikitika sana kuona watu wanakurupuka kujibu vitu wasivyovijua, ni bora kukaa kimya ama kuuliza ili ujue
03/03/2014 Nimekabidhi Cerificate of Incorporation -inahusika na usajili wa Company Limited Kwa JF member ambaye ni Mwalimu pale jitegemee Secondary Dar, ninayo furaha ya kipekee kwa sababu hii ni kazi yangu ya kwanza kwa upande wa Company Limited kufanya kazi na mtu ambaye amepata taarifa zangu jf.
Nilihusika kila hatua kuanzia kuandika barua ya Search, Kuandaa Memorandum na hatimaye kulipa na kufuatilia kazi mpaka amepata Certificate.Na muda wote wa kufanya naye kazi mimi ndio nilikuwa namfuata ofisini mpaka kazi imekamilika .
Alionesha trust kubwa kwangu,kuanzia kunipa jukumu la kuandika Memorandum kwa aina ya objects za Company yake na Kunipa Kiasi cha 241,200 kulipia usajili ,ukiacha mbali gharama zangu.Kazi imechukua week mbili kama nilivyokadiria
Kwa wewe uliopo Dar huna haja ya kunifuata ,kama utakuwa bizi ofisini twaweza onana ofisini kwako na kazi itaenda vizuri,na mlioko mikoani ama nje ya nchi huna haja ya kuja Dar ,nikiandaa Memorandum nakutumia kwenye mail kisha nakuelekeza sehemu za kusaini ,halafu utatuma documents kwa njia ya bus ama posta ama yoyote itayowezekana
Jina langu la cheti cha kuzaliwa sidhani kama ni issue sana ndio maana hata ambao nimefanya nao kazi nimewaorodhesha kwa jf ids zao mbali na kwamba nilifahamu majina yao halisi wakati wa kuwasajilia,utalijua utapofanya mawasiliano nami personally,ofisi sina so far japo kila siku ya kazi ni mjini kufuatilia maendeleo ya kazi zangu mbalimbali,Singo ndio jina ninalotumia kama ulivyonifahamu,JOUNE INVESTMENT COMPANY ni company yangu, nita upgrade kuwa limited Mungu akijalia, namba ya simu ipo juu kwenye post na 1, labda nikuongezee na mail kesh.west@gmail.comJina lako ni nani yaani la cheti cha kuzaliwa na kitambulisho chako? Anuani ya ofisi yako iko wapi? Kampuni yako inaitwaje (jina unalotumia kufanya biashara)? Namba za simu?