zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
TransgenderHivi mkuu wewe jinsia gani?
Duh!mbona Hiyo ni personal sana but mwandiko unajieleza na jina pia ZagarinoHivi mkuu wewe jinsia gani?
Wewe huyo auTransgender
Swali ni swali mkuu....Duh!mbona Hiyo ni personal sana but mwandiko unajieleza na jina pia Zagarino
Mi masculine bana shida nini kwaniSwali ni swali mkuu....
Bado haujanijibu
Ni wewe au nimebashili vibaya?Wewe huyo au
Ooh man too personal bro!Sawa mkuu.
Una umri gani?
Duh!sababu yako kusema hivyo ni niniNi wewe au nimebashili vibaya?
Hapo kwenye kizungu sujaelewa mkuu.Ooh man too personal bro!
Why should I expose my age but I'll answer if u promise to answer me back?
Acha utani Daby sidhani kama ni jina la kizunguHapo kwenye kizungu sujaelewa mkuu.
Nilisema hayo maneno ulioandika juu ya lugha ya kizungu sikuyaelewa mkuuAcha utani Daby sidhani kama ni jina la kizungu
Stress za maisha bro Ila huwa sihesabu thread nazoanzisha kwa siku..zagarinojo kwa siku unaanzisha uzi mara ngapi JF, na nini hupelekea kua unapost mara kwa mara JF?
Nasema kwamba Ila mbona unataka nitaje miaka yangu Ila kama ukitaka ntataja endapo na wewe pia utataja yako na utajibu maswali yanguHapo kwenye kizungu sujaelewa mkuu.
Dah!nini kimekufanya uje na jibu hiloNi wewe au nimebashili vibaya?
Mm ni dokta tambitambi nilitaka tu kupima kama bado nipo fit kweny utabiriDuh!sababu yako kusema hivyo ni nini